Nyerere hakufanya makosa, Bali wanaccm

Nyerere hakufanya makosa, Bali wanaccm

Inspector66

Member
Joined
Dec 25, 2017
Posts
19
Reaction score
8
Amani iwe nanyi, kuna upotoshaji kwamba mwalimu alifanya makosa na hakutuanda kuwa taifa.

Kauli km hizi na nyingine nyingi za kumlaumu ni za kipuuzi kwani mwalimu alituandalia mipango ya kujitegemea, utamaduni mzuri, mpaka azimio LA arusha.

Waliokuja kutuhujumu ni ccm chini ya mkapa, hawa ndo waliokaribisha wezi wanaotunyonya mpaka Leo hii. Ccm wamekuwa vibaraka wa wazungu na kutujaza umasikini wa kutupa hadi sasa.

Adui mkubwa nchi hii sio chadema wala mafisadi ila ni ccm. Tukitaka kuondosha umasikini Tanzania ni vema tukaanza na kuwaondoa ccm wakoloni weusi. Wote ndani ya chama hiki wamejenga mfumo wa kulinda wezi wakubwa.

Mungu ibariki Africa
 
Labda ni kweli uyasemayo kuhusu CCM na uwekezaji wa ovyo. lakini tuambie tofauti iliyokuwepo kati ya Mwalimu Nyerere na CCM. Ninachojua Azimio la Arusha lilishindwa mikononi mwa mwalimu mwenyewe, na ikawa ndiyo chanzo cha kukaribisha wawekezaji kwa pupa bila kujali uwezo wao na thamani halisi ya kile tulichowapa
 
Labda ni kweli uyasemayo kuhusu CCM na uwekezaji wa ovyo. lakini tuambie tofauti iliyokuwepo kati ya Mwalimu Nyerere na CCM. Ninachojua Azimio la Arusha lilishindwa mikononi mwa mwalimu mwenyewe, na ikawa ndiyo chanzo cha kukaribisha wawekezaji kwa pupa bila kujali uwezo wao na thamani halisi ya kile tulichowapa
Mkuu nwalimu alipinga uwekezaji wa kijinga, alipinga azimio LA Zanzibar, pia hata kwenda kutibiwa uingereza alipinga pia, na aliwaonya wanaccm bila nafanikio sikiliza hotuba zake.
 
Mkuu nwalimu alipinga uwekezaji wa kijinga, alipinga azimio LA Zanzibar, pia hata kwenda kutibiwa uingereza alipinga pia, na aliwaonya wanaccm bila nafanikio sikiliza hotuba zake.
Azimio la Arusha lilishindwa kuinyanyua nchi, maana liliweka utaratibu wa njia zote kuu za uchumi kumilikiwa na dola bila kujali uwezo wa kielimu na kiweledi wa watumishi wa uma. hatimaye viwanda na mashirika ya uma vilifirisika mikononi nwa mwalimu mwenyewe. Hatimaye Benki ya Dunia na Shirika la Fedha Ulimwenguni wakatushauri kuiondoa serikali kwenye shughuli za kibiashara, kwamba tuuze viwanda na mashirika ya uma na serikali ibakie kama mkusanya kodi. Hicho kilikuwa chanzo cha kuvunjika kwa Azumio la Arusha kwa kulitumia Azimio la Zanzibar. Vinginevyo vurugu za kuwapa wawekezaji
viwanda kama TBL, Kilombero Sugar na mashirka kama NBC kwa bei ya kutupa huwezi kumuweka mbali Mwalimu maana waliofanya hayo walikuwa wateule wake ambao amewapigania.
 
"We are able to see far ahead beyond the mountains because we are dwarfs standing on the shoulders of giants "
 
Back
Top Bottom