GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,651
- 109,045
1. Matendo yenu yasiyovutia katika Jamii yanamuaibisha vilivyo Babu yenu aliyeliheshimisha Taifa hili letu
2. Mna Sifa zilizopitiliza na Ushamba mwingi kwa Kujivunia Jina la Babu yenu
3. Mnapenda Kulitambia na kulitumia vibaya Jina la Babu yenu Mitaani, katika Jamii na Maofisini
4. Wengi wenu Kitaaluma mko very Weak (yaani ni Mapopoma watupu) kinyume na alivyokuwa Babu yenu
5. Kwa tabia zenu za Kipuuzi ndiyo maana hadi sasa hakuna hata Mmoja wenu Kateuliwa popote na Mamlaka
6. Kuna Mwenzenu Mmoja yuko Jeshini (JWTZ) yeye Kutwa ni Kulewa tu Chakari kwa Ndugu yake aishiye Mbezi Beach mita chache na kwa CDF Mstaafu General Mboma na akiwa Kazini kutwa ni Kuwatambia tu Wakubwa kuwa yeye ni Mjukuu wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
7. Hamjitambui, Mmebweteka na Wote Mimacho yenu mmewekeza Kurithi Mali za Babu yenu huku mkipenda Kumdoea Bibi yenu (Mjane Mama Maria) Pesa zake za Pensheni na nyinginezo (kama Zawadi) anazopewa na Marafiki wa Babu yenu akina Marais Museveni, Kagame, Familia ya Mandela na Taifa la China.
Badilikeni Mnaboa na Leo GENTAMYCINE ambaye ni Mzanaki Mwenzenu na nawajueni Wote (ila nyie hamnijui na hamtonijua) nimeamua Kuwachaneni Mubashara (Live) tena katika Siku hii nzuri ya Kumbukumbu ya Miaka 24 ya Kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere.
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu.
2. Mna Sifa zilizopitiliza na Ushamba mwingi kwa Kujivunia Jina la Babu yenu
3. Mnapenda Kulitambia na kulitumia vibaya Jina la Babu yenu Mitaani, katika Jamii na Maofisini
4. Wengi wenu Kitaaluma mko very Weak (yaani ni Mapopoma watupu) kinyume na alivyokuwa Babu yenu
5. Kwa tabia zenu za Kipuuzi ndiyo maana hadi sasa hakuna hata Mmoja wenu Kateuliwa popote na Mamlaka
6. Kuna Mwenzenu Mmoja yuko Jeshini (JWTZ) yeye Kutwa ni Kulewa tu Chakari kwa Ndugu yake aishiye Mbezi Beach mita chache na kwa CDF Mstaafu General Mboma na akiwa Kazini kutwa ni Kuwatambia tu Wakubwa kuwa yeye ni Mjukuu wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere
7. Hamjitambui, Mmebweteka na Wote Mimacho yenu mmewekeza Kurithi Mali za Babu yenu huku mkipenda Kumdoea Bibi yenu (Mjane Mama Maria) Pesa zake za Pensheni na nyinginezo (kama Zawadi) anazopewa na Marafiki wa Babu yenu akina Marais Museveni, Kagame, Familia ya Mandela na Taifa la China.
Badilikeni Mnaboa na Leo GENTAMYCINE ambaye ni Mzanaki Mwenzenu na nawajueni Wote (ila nyie hamnijui na hamtonijua) nimeamua Kuwachaneni Mubashara (Live) tena katika Siku hii nzuri ya Kumbukumbu ya Miaka 24 ya Kifo cha Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere.
Mimi ni Bahari huwa sikai na Uchafu.