Nyerere amtetea Zitto Kabwe.

hiv nyie ccm mnanishangaza san!kwahiyo huyo zito ni malaika hawez kukosea?na aogopwe kuambiwa kisa alitangaza nia,nyie vp?
 
ni ujinga tu unatusumbua huwezi kudai nyerere amemtetea zito kwa lipi!nadhani issue hapa ni ama zito kachua rushwa ama hajachukua. hapa issue sio nani anampiga vita zito, kama kachukua rushwa amekwisha kama hajachukua asonge mbele na kazi ya kujenga taifa lakini ni baada ya kudhibitisha uwa hajahusika na rushwa inayotajwa.
kwamba yeye sio mchaga hilo ni lenu kwamba yeye ni mwislamu haina uhusiano kwani hata olesendeka ni mkristo lowasa naye ni mkristo
mwanasiasa hujijenga mwenyewe na kujimaliza mwenyewe. mnapoteza muda mnapodhani kwa kuwatetea wanasiasa mnawajenga,hakuna kitu kama hicho,kama vile ambavyo hamkuhusika kuwafanya kuwa wanasiasa ndivyo ambavyo hamhusiki kuwalinda.kwenye siasa anguko ni mara mmoja kosa la rushwa kwa mwanasiasa ni sawa nas mchungaji kuzini .
watanzania mnashangaza sana,kwa hiyo mtu akiwa mkristo akachua rushwa asisemwe kwa sababu tu ni mkristo,nauliza akiwa muislamu na akachukuwa rushwa asisemwe kwa sababu tu ya dini yake huo ni upuuzi,eti kama sio mchaga halafu akahusishwa na rushwa asisemwe kwa sababu ni wa chadema na sio mchaga huo nao ni upuuzi
 
Kama Chadema wako serious watauacha mchakato uwe huru na wa haki. Katika mazingira hayo yeyote anaweza kuibuka mshindi.

Ccm hela ipo watamhonga zitto na cdm wengine wavurugane ili wao wapite kirahisi.. The guy is not ready for the job
 
Kama Chadema wako serious watauacha mchakato uwe huru na wa haki. Katika mazingira hayo yeyote anaweza kuibuka mshindi.
Mchakaato hauwezi kuwa huru na wa haki wakati tayari kuna mtu ana billions toka sehemu mbalimbali hata nje ya nchi (Kama Machali alivyoelezwa na Kafulila). Tuelezwe kwanza hao wanaompatia mapesa toka nje wamelenga nini. Quoting Mwalimu, akiingia Ikulu atayarudishaje hayo mapesa? Will he be different from Kikwete?
 
mawazo anayozungumza Nyerere siyo ya kwake ila ya jamii na aliyatoa katika jamii na yeye ni muumini tu wa mawazo hayo. ni kweli kwamba hatupaswi kuabudu mawazo ya mtu lakini ni vema kukumbushana wosia wa baba ili tusipotee. tatizo kubwa ambalo tunalo huwa hatufikiri kuanzia walipoishia wenzetu na badala yake tunakuwa waumini wa wenzetu.
Hiv Watanzania kwanini tunaacha kufikiri, kazi kunukuu kila alilolisema Nyerere na kugandia hapohapo...
Tuna wasomi kibao, watu wenye akili timamu na wanaoweza kufikiri mawazo mapya na kuacha huu mgando wa mawazo eti ni kumuenzi mwalimu..
 
we chinja chinja vipi? Badala ya kuijenga ccm yenu unajifanya unamtetea zito. Acheni unafiki kujifanya mnamtetea zito kumbe udini na uchonganishi umewajaa. Na safari hii mmenoa. Kampeni yenu imeshindikana, mkitaka kumuweka mzenji ndo kabisaaaaa! Naona mnajaribu kete yenu kwa zito, hamtaweza na mtaendelea kuabika.

Woga wenu juu ya nguvu ya ZZK na chuki yenu dhidi ya dini ya Watanzania wenzenu ndiyo vinavyokuongoza wewe na wote mnaombeza Zitto. Harakati hizi hazijengi bali ni sumu mnayoanza kuipandikiza mapema kabla hata mchakato wa uchaguzi haujafika. 2010 kampeni za makanisani zilitawala hatutaki jambo hili lijirudie tena, kama kweli tuna nia ya dhati kuondokana na udikteta wa sisiem na kuing'oa ccm madarakani, hatuna budi kujiweka mbali na harakati za namna hii.
 
mbona kampeni za misikitini hamlalamiki? Msiwe kama watoto wakiwa ambao wakifanya kosa akachapwa mtoto wa nyumba ni sawa ila akichapwa yeye analalamika kwa sababu ye mkiwa! Kosa si lile lile? Kwa nini mmoja aachwe na mwingine akatazwe? Tunajua uoga wenu na kilichowakuta UDOM mwaka jana baada ya kutaka kueneza siasa za udini. Hamna tofauti na waziri aliyetangaza mambo ya uislamu kwenye baraza na mchungaji akiuliza mnalalamika ni mdini! Wale wazee mnaowadanganya na vikanga na kutujazia waarabu na wasomali kwenye bunge letu wanateketea kwa kasi sana. Mkifanya nyie sawa ila wenzenu mnadai udini, au mnafikiri hatujui ndoto zenu mnazotangaza za kuendelea kutawala nchi hii?
 
Chi boy inaelekea madarasa hayajatosha. Hv unaweza kufanya uchunguzi au kutaka kutatua jambo katika jamii bila kufanya marejeo ya wale waliokumbana na tatizo kama hilo au linalofanana na hilo. Mwl. Nyerere ni reference point yetu na hakuna kichwa chochote hadi sasa katika nchi hii kinachokaribia kichwa cha mwalimu. Tatizo la wana cdm ni kukifanya chama hicho kuwa cha kabila fulani na wasio kabila hilo (niwaite-koloni la kabila hilo) wanapiga debe la utumwa bila kujijua. Angalia trend hii! Lyatonga na NCCR_MAGEUZI(kabila hilo liko nyuma yake), Lyatonga na TLP(kabila hilo liko nyuma yake). Siri ilipofichuka kuwa kuna ajenda ya kikabila ilyoshindikana kushika nchi, ikawa hivi- Freeman na Chadema (kabila hilo liko nyuma). Ikashindikana kuchukua nchi, mpango ukawa huu. Simamisha urais kabila nyingine lakini maamuzi makubwa ya chama yabaki katika "kabila hili" lakini na nguvu kidogo ya udini ilihitajika(tengeneza waraka). Mambo yakawa hivi, Dr. Slaa na Chadema( kabila hilo liko nyuma yake) likisaidiwa na mahelkopta na vyombo vya habari vinavyoondeshwa na "watu wa kabila hilo". Wananchi wakagundua haikuwa hivyo. Mkakati wa 2015 ni kuhakikisha "kabila hilo linaongeza makoloni ya kutosha kipaumbele kikiwa- Mkoa wa mara(watu watakao tumika kuleta fujo), Sukuma land(kwa ajili ya wingi wao na kuwazuia wasiamke na kuteua msukuma kugombea urais) na kuendelea kunyonya rasilimali zao, Arusha (wamasai wamekubali kuwa koloni halali la kabila hilo) shughuli za kiuchumi na kisiasa wamesha zishika na wamasai na waarusha wamebaki kuwa walinzi wa mali za "kabila hilo", Mbeya na Ruvuma (kukamata raslimali za kilimo). Sasa nyerere aliyaona haya siku nyingi ndio maana akasema, ukabila na udini haujaisha-ukiwachanja watu vitu hivyo vipo karibu sana. Hutuba za Nyerere haziwezi kuwafurahisha cdm hata siku moja na kama wangekuwa na uwezo wazingezifuta katika maktaba zote.
 
Wewe unamatatizo ya udini. Kabwe na udini wapi na wapi, mnamuhukumu kwa uislam wake kumbe sio wezo wake. Kama cdm inafkiri kukumbatia ukristo, itaingia ikulu, huko ni kujidanganya kama waislamu walivyojidanganya na CUF. Chadema wamesha jaribu hilo la kutumia udini ktk uchaguzi uliopita na ikashindikana na Formula ilikuwa very wrong. Walidhani kwa kutumia udini wangeweza kushinda mikoa mingi na ccm ingeweza kugawana kura na CUf katika mikoa ya pwani na miji mikuu ya mikoa yenye waislam wengi, Hivyo, WARAKA WA KANISA ukashindwa na mbinu hiyo haitakufaa tena, sana utazidisha ufa. Ukianza udini watu wana extend hadi kwenye ukabila. Ndio maana cdm na uchagga hauwezi kuviachanisha, hivyo, kazi ni ndogo tu, kuwaambia watanzania bila kuchoka kuwa cdm ni ya wachaga tena wale wenye msimamo mkali na si wachaga wote. Wenzangu na mimi wasio wachaga sijui mnatoka wapi na chama hiki.
 
nyerere naye alikuwa na weakness zake na watu waliosoma na wenye uelewa wakati huo. Ndo maana akawa anakataa ukabila huku nyuma anasema kabila fulani lisigombee. Kwa nini? Unafikiri ni kwa nini aliwajengea wahaya gereza huko kwao ili awapotezee kule kule? Unafikiri kwa nini aliogopa wachaga na wanyakyusa na wasukuma? Hivyo vikabila vya ajabu vimetusaidia nini? Kuna wakati huwa nafikiria kama tungepata rais mjasiliamali toka mwanzo tungekuwj mbali. Hivi vikabila vinavyojifanya kufuata sera za ujamaa na kujitegemea na kwenye vitabu wala practise hazipo ndo wanatuletea umaskini. Hivi hujiulizi kwa nini pamoja na rais kuwa hilo kabila dogo kwa nini watanzania wazalishaji wengi ni maskini wa kutupwa? Kwa nini watu wanadanganywa na sera za kilimo kisicho na tija? Kwa nini hilo kabila dogo haliwawezeshi watz kuzalisha chakula cha kutosha tukauza kongo, kenya,sudani tukapata dolari?! Pamoja na maji na mito mingi tuliyonayo? With all this fertile arable land? Hivi wewe una akili zote kusikia mpanda mahindi ya mwaka juzi yapo yanaoza na igunga kuna njaa? Siku zote anayetoka familia ndogo anafikiria padogo, haweyi kuwa na mawazo ya muda mrefu. ****** sijui mmaswitule hawezi kufikiria kuiendeleza nchi nzima wakati yeye mwenyewe kashindwa kujiendeleza kwake. Nyerere alipoondoka tulikuwa na maadui watatu, sasa hivi wamefika watano: umaskini,ujinga,maradhi,ufisadi na ccm.
 
pop-up mmesahau kwamba nyie mlikuja na kilaini 2010? Bahati yenu lowasa alikuwepo kuwazunguka wale wazee. Ni lini cdm imesimama kanisani ikatangaza muichague? Unaweza kuniambia mwaka jana kwa nini rais wa udom alikuwa mwanamke? Tena alichaguliwa bila kupiga kampeni na alikuwa dar? Mlifikiri mtaendelea kufanya mambo yenu pasipo kujua? Tena bahati yenu pengo aliwastahi kwani mngekuwa mlishajilipua wengine! Hivi we unafikiri kanisa likiamua kuingia kwenye siasa kama wale mashehe mtasalimika? Unajua kwamba watu wenu wanatumiaga udini kuchagua badala ya utashi? Hivi wewe uliona ni sahihi aeshi kumfananisha jk na Mungu, yeye na Yesu na mgombea udiwani na Roho mtakatifu? Mboni nyie mkisemwa kidogo tu mnajazana barabarani na kanzu? Tena bahati tu wale watu wa sumbawanga waliwastahi,sijui mngekimbilia wapi. Acheni kupenda mambo ambayo baadaye mnaona kama mnaonewa!!
 
pop-up mmesahau kwamba nyie mlikuja na kilaini 2010? Bahati yenu lowasa alikuwepo kuwazunguka wale wazee. Ni lini cdm imesimama kanisani ikatangaza muichague? Unaweza kuniambia mwaka jana kwa nini rais wa udom alikuwa mwanamke? Tena alichaguliwa bila kupiga kampeni na alikuwa dar? Mlifikiri mtaendelea kufanya mambo yenu pasipo kujua? Tena bahati yenu pengo aliwastahi kwani mngekuwa mlishajilipua wengine! Hivi we unafikiri kanisa likiamua kuingia kwenye siasa kama wale mashehe mtasalimika? Unajua kwamba watu wenu wanatumiaga udini kuchagua badala ya utashi? Hivi wewe uliona ni sahihi aeshi kumfananisha jk na Mungu, yeye na Yesu na mgombea udiwani na Roho mtakatifu? Mboni nyie mkisemwa kidogo tu mnajazana barabarani na kanzu? Tena bahati tu wale watu wa sumbawanga waliwastahi,sijui mngekimbilia wapi. Acheni kupenda mambo ambayo baadaye mnaona kama mnaonewa!!
 
Tunafahamu woga walionao CCM kama CHADEMA watamsimamisha Dr. Slaa, kwahiyo juhudi zao na propaganda zao za kujaribu kuleta mfarakano ndani ya CHADEMA zinaeleweka, tunafahamu kwamba VIBARAKA mtatumika katika suala hili, mbinu zenu tunazijua na namna ya kukabiliana nazo tunafahamu, adhabu ya vigogo na vibaraka wao inafahamika, hata mfanye propaganda zipi ANGUKO LENU 2015 HALIKWEPEKI, nasikitika sana kwa ujinga unaowafanya vibaraka msaliti wananchi na ndugu zenu masikini, TAFAKARINI SANA, KWANI MUDA BADO UPO.

Kwani Mh Zito hana haki ya kugombea uraisi kupitia chadema au kwa sababu si mchaga na wala si mkristo? Tunajua vibaraka wa Mh Mbowe mtatumika sana kumpinga Mh Zito lakini ukweli utabaki pale pale Mh Zito anaonekana kuwa tishio kwa wachaga na wakristo wa chadema kwa sababu uwezo wa kuongoza anao huwezi fananisha viongozi wengi wa chadema, Mbowe na Zito, Zito ni zaidi alafu Mnyika na Zito, Zito ni zaidi alafu Tundu Lissu na Zito,

Zito ni zaidi kiukweli kiutendaji na kiuwajibikaji Mh Zito kafunika viongozi wote wa chadema sasa kinachofanyika ndani ya chadema ni kujaribu kumdhohofisha Zito kwa kutokumuhusisha kwenye mikutano mbali mbali ya chama lakini cha ajabu hiyu jamaa ana kipaji cha uongozi anaibukia kwingine ambako ni bungeni na kuwapagawisha Chadema, Mh Zito akikisha unatimiza ndoto zako ukikwamishwa na chadema nenda ata chama kingine ili kufanikisha malengo yako Nyota yako inang'aa wachaga wanaiyonea gere!
 
Chi boy inaelekea madarasa hayajatosha. Hv unaweza kufanya uchunguzi au kutaka kutatua jambo katika jamii bila kufanya marejeo ya wale waliokumbana na tatizo kama hilo au linalofanana na hilo. Mwl. Nyerere ni reference point yetu na hakuna kichwa chochote hadi sasa katika nchi hii kinachokaribia kichwa cha mwalimu. Tatizo la wana cdm ni kukifanya chama hicho kuwa cha kabila fulani na wasio kabila hilo (niwaite-koloni la kabila hilo) wanapiga debe la utumwa bila kujijua. Angalia trend hii! Lyatonga na NCCR_MAGEUZI(kabila hilo liko nyuma yake), Lyatonga na TLP(kabila hilo liko nyuma yake). Siri ilipofichuka kuwa kuna ajenda ya kikabila ilyoshindikana kushika nchi, ikawa hivi- Freeman na Chadema (kabila hilo liko nyuma). Ikashindikana kuchukua nchi, mpango ukawa huu.....

Nyerere alikuwa weak leader na alitumia nguvu nyingi kujijenga na kukandamiza wanaompinga...
Aliyaogopa makabila makubwa na kuyakandamiza kwa njia kadhaa kwa kuwanyima elimu eti kwa kisingizio cha kuwasubiri wengine, na alitumia vyombo vya habari kuyachafua na ndo maana hadi leo kuna chuki za chinichini a ukabila..

Kama angekuwa kiongozo mzuri kama tunavyojiaminisha leo Tanzania hatukupaswa kupata viongozi wabaya maana tangia aachie madaraka yeye ndo alituchagulia viongozi na wote hawajatukomboa zaidi ya kutudhoofisha..

Amevuruga system ya uongozi na kufanya watu dhaifu kushika madaraka makubwa na madhara yeke ndo tunayaona sasahiv...
Kutolipa watumishi wa umma mishahara ya kutosha kwa kisingizio cha kujitolea kwa nchi yako imesababisha kujengeka kwa vitendo vya rushwa na uwajibikaji mmbovu maofisi ya serikalini.. Mataifa yaliyoendelea sio wajinga kuwalipa vizuri wafanyakazi wao wakijua ndo kuongeza effinciency ya kazi..

Alitujengea uoga wa kukosoa serikali na kufanya viongozi kufanya makosa makubwa yanayo tugharimu hadi leo..

Hali ya nnchi ikizidi kuwa mbaya anayeathirika ni kila Mtanzania na kama kuna mtu mwenye suluhu ya kweli ya kutukomboa hata kama ni mtu wa kabila kubwa ni haki yake kutukomboa..

Hili la kusema wata onea makabila madogo ni mawazo finy.. kwahiyo kabila dogo likishika hii nafasi linyanyase makabila makubsa na kujinyanyua nalo liwe kubwa!!!

Tuache kuwa watumwa wa Nyerere... Tanzania na ya wote na hamna hasiye na haki juu yake..
 
Kwishney! JK kaliangamiza taifa kwa udini. What next?

washabiki wa zito,ccm na uislamu wanakosa hoja na kuanza kuingiza udini na ukabila. Hivi Bob makani aligombea cdm akiwa mchaga?mkristo? Kuna mtu wa cdm aliyesema zito hawezi kugombea sababu ni muislamu? Si mchaga? Jk ametuletea utenganisho mbaya sana hili taifa, hii yote ni shauri ya tamaa ya madaraka aliyokuwa nayo. Akajenga makundi ya udini na kugawa kazi kwa udini. Wenzake wameona kupewa bure kutamu wanataka waendelee kupewa. Ipo siku tutachomana visu sababu ya hii mbegu aliyoipanda jk.
 
Back
Top Bottom