Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,441
- 166,938
Salaam,
Waswahili wanasema kazi ya Mungu haina makosa.. Hilo silibishii na wala sina pingamizi nalo...
Nyaulawa aliyekuwa mkurugenzi wa Business Times na pia mbunge wa Mbarali, alikuwa ni mtu wa watu na mpenda maendeleo kwa ujumla... Magazeti yake yote yalikuwa hewani kila siku kwenye tovuti..
Cha kusuikitisha ni kuwa baada ya kifo chake haukupita hata muda wa wiki mbili... Tovuti zote zikafungwa....
Je ni kweli uongozi mpya umeshindwa kuziendesha?
Je sisi kama wana jamii tuliokua tukinufaika na magazeti hayo tunaweza kufanya kitu gani ili yarudi hewani?
Waswahili wanasema kazi ya Mungu haina makosa.. Hilo silibishii na wala sina pingamizi nalo...
Nyaulawa aliyekuwa mkurugenzi wa Business Times na pia mbunge wa Mbarali, alikuwa ni mtu wa watu na mpenda maendeleo kwa ujumla... Magazeti yake yote yalikuwa hewani kila siku kwenye tovuti..
Cha kusuikitisha ni kuwa baada ya kifo chake haukupita hata muda wa wiki mbili... Tovuti zote zikafungwa....
Je ni kweli uongozi mpya umeshindwa kuziendesha?
Je sisi kama wana jamii tuliokua tukinufaika na magazeti hayo tunaweza kufanya kitu gani ili yarudi hewani?