Subiri nitakapoleta uzi wenye heading 'wananchi dar waporwa ardhi' hapo ndo nitawataja hao wananchi walioporwa, lakin hii inahusu hao waliogawiwa ardhi iliyoporwa na nimewataja.Hii ardhi iliporwa kutoka kwa nani? Maana ukisema kutoka kwa wananchi Dar kidogo haileweki. Hao wamiliki wa hiyo ardhi walikuwa wakina nani?
Umepanga chumba kimoja halafu unakuja hapa kujifariji!Google Chintu - na mimi unipost nipate kiki.
Mi ninavyo viwili tena sio huto twa square meter 800.
Kwa wanaouliza eneo Zitto kawajibuWatoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi iliyoporwa kutoka kwa Wananchi DAR. Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha Zitto anajinadi buchani. Sasa hivi watamtoa nyongo, hawachezewi hao wasukuma. Kwasasa Tanzania ni yao, angesubiri watoke madarakani turudishemali yetu tuwaache masikini kama walivyoingia madarakani.