Sexer
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 8,204
- 7,892
Watoto wa Rais Magufuli na Katibu Mkuu Hazina Bw. Dotto James na Mke wa Mkuu wa Mkoa Dar Bw. Paul Makonda wanaonekana kugawiwa ardhi ambayo tetesi zinadai iliporwa kutoka kwa Wananchi DAR.
Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi. Je, kuna ukweli wowote katika hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana ni ‘syndicate’ kubwa ya Viongozi wa Serikali na CCM kujimilikisha ardhi. Je, kuna ukweli wowote katika hili?
Sent using Jamii Forums mobile app