Mkuu, hapa hoja ni nini? Kutoweka kwa Ngabu na kutojulikana alipo, au kukithiri kwa Makanjanja na Vishoka, ama Mods kusimamia vizuri JF?Huyu jamaa siku hizi yuko wapi??
Mzee wa mayai ya malkia, ni wachache sana humu wanaofikia akili ya yule jamaa. Super Genius.
Wengine nao wamekuja humu wanajifanya fanya wachambuzi uchwara lakini wapi, nikiwaangalia hawafikii uzani wa Nyani Ngabu katika mizani ya kiakili.
Nafikiri atakuwa ameikimbia Jamiiforums kutokana na uvamizi wa kundi kubwa la MAKANJANJA na VISHOKA waliojaa humu siku hizi.
VISHOKA na MAKANJANJA hawakai zizi moja na watu wenye akili kubwa. Lazima mmoja atoroke.
Nimegundua kitu kimoja kwamba MAKANJANJA wana nguvu sana. Wakivamia eneo ni kama nzige.
Thanks to Maxence Melo, angalau sasa jukwaa linadhibitiwa kwa kiasi fulani na kwamba VISHOKA hawatambi kihivyo.
Tuendelee kukaza uzi, hawa nzige wakicharuka tumekwisha kama Facebook.
Nimemiss sana Kingereza cha Nyani Ngabu na Kaka ake Kiranga
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌Ngabu unaitwa huku
Wizo watakwambia we ndio nyani mwenyewe unajipigia debe kwa i'd yako nyingine
Mambo ya TEETH 😂😂🤣🙌Yupo kwenye system
Baadaye nitatoa TAMKO.Mkuu, hapa hoja ni nini? Kutoweka kwa Ngabu na kutojulikana alipo, au kukithiri kwa Makanjanja na Vishoka, ama Mods kusimamia vizuri JF?
Ni kama umerundika pamoja sembe, jivu na mchanga. Pengine kila kimoja kingewekwa peke yake andiko lako lingeeleweka vizuri zaidi.
Kwa sababu hayo mambo matatu yaliyopo hapo hayawezi kuwekwa pamoja, kulingana na mfumo wa uwasilishaji.
Umetaka tumsake Ngabu, hapo hapo unatuonesha unazo taarifa za Ngabu kutokuwepo JF. Kisha, unaanza kazi ya kumchonganisha Ngabu na members.
Nashauri ungeenda na mojamoja kwa sababu hapa ni nyumbani kwa great thinkers itapendeza zaidi threads zetu zikawa zimenyooka.
Huu ni mtazamo tu, msijenge chuki.
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] we ngoja waje utawasikia[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119]
mshamba_hachekwi hii Jamaa ni Waki kinyama🤣😆am jere the grandson of monkey ngabu i speak english more than him
Yupo Ghaza anafuwa nepi za askari wa kizayuni.Huyu jamaa siku hizi yuko wapi??
Mzee wa mayai ya malkia, ni wachache sana humu wanaofikia akili ya yule jamaa. Super Genius.
Wengine nao wamekuja humu wanajifanya fanya wachambuzi uchwara lakini wapi, nikiwaangalia hawafikii uzani wa Nyani Ngabu katika mizani ya kiakili.
Nafikiri atakuwa ameikimbia Jamiiforums kutokana na uvamizi wa kundi kubwa la MAKANJANJA na VISHOKA waliojaa humu siku hizi.
VISHOKA na MAKANJANJA hawakai zizi moja na watu wenye akili kubwa. Lazima mmoja atoroke.
Nimegundua kitu kimoja kwamba MAKANJANJA wana nguvu sana. Wakivamia eneo ni kama nzige.
Thanks to Maxence Melo, angalau sasa jukwaa linadhibitiwa kwa kiasi fulani na kwamba VISHOKA hawatambi kihivyo.
Tuendelee kukaza uzi, hawa nzige wakicharuka tumekwisha kama Facebook.
Nimemiss sana Kingereza cha Nyani Ngabu na Kaka ake Kiranga
We ni wakiYupo Ghaza anafuwa nepi za askari wa kizayuni.
Yuko kwenye Uzi wa TAI DUME kwenye jukwaa la ajiraNyani ngabu yupo porini anakula mapera
Waki sindo kuzi au? 🤣🤣We ni waki
Waki ni miyeyushoWaki sindo kuzi au? 🤣🤣
AusiyoWaki ni miyeyusho
how come am too wack my bro...?mshamba_hachekwi hii Jamaa ni Waki kinyama🤣😆
Ur my big bro, I mean no malice to nobodyhow come am too wack my bro...?
yaah for sure broohUr my big bro, I mean no malice to nobody