Nyambari Nyangwile Mbunge bubu mjengoni

Nyambari Nyangwile Mbunge bubu mjengoni

Aina ya wabunge hawa ni wa kuwaogopa kama nyoka kwani hawana uchungu na kero za wananchi wao wapo kwa ajili ya matumbo yao tu.
 
Nyangwine Kiswahili cha kuzungumza mdomoni hajui ! iweje azuge kuandika Vitabu vyenye Kiswahili fasaha tena kuna misamiati kibao ambayo nina imani nywangine haijui , huu Utapeli wa kitaaluma itakwisha lini? Hii ni mojawapo ya kudumaza Elimu ya Tanzania , nyangwine Tarime watakuundia Tume ya kukuchunguza vizuri.

mwee we nae kwani lafudhi mbovu ina maana kiswahili ndo hajui hahahaa hapa umemtusi hadi Dr magufuri yeye si nasikia ni msukuma wa zanzibar hahahaha content ya kichwani na lafudhi haviendani
 
Wabunge kama hawa bado wanakumbatiwa na chama chao.
Walitakiwa watolewe hata kama wamepata kura zao kwa haki.
 
Juzi wametoleana bAstola uko Tarime vijijini na mgombea ubunge mwingine Kwa ticket ya ccm bwana gimunta ilikuwa noma mbaya saizi anagombea kupitia jimbo la Tarime vijijini
 
Juzi wametoleana bAstola uko Tarime vijijini na mgombea ubunge mwingine Kwa ticket ya ccm bwana gimunta ilikuwa noma mbaya saizi anagombea kupitia jimbo la Tarime vijijini

Safari hii watu wanataka wabunge wenye kujua wajibu wao wanaojitambua , watanzania wamechoka na wabunge wa kupiga meza kwa kura za ndiyo...
 
mwee we nae kwani lafudhi mbovu ina maana kiswahili ndo hajui hahahaa hapa umemtusi hadi Dr magufuri yeye si nasikia ni msukuma wa zanzibar hahahaha content ya kichwani na lafudhi haviendani

Magufuli ana lafudhi ya kihaya lakini yeye ni msomi na mchapa kazi,na si mwandishi wa vitabu ndiyo maana watu hawana shiida na lafudhi yake, ,lakini nyangwine yeye kajipa Ujiko wa kutunga na kuandika vitabu wakati si kweli huku akiwa hajui kiswahili kwa 80% hii ni hujuma kubwa kwa Taaluma ya Tanzania inafaa ikemewe kwa nguvu kubwa sana.
 
Juzi wametoleana bAstola uko Tarime vijijini na mgombea ubunge mwingine Kwa ticket ya ccm bwana gimunta ilikuwa noma mbaya saizi anagombea kupitia jimbo la Tarime vijijini

Safari hii watu wanataka wabunge wenye kujua wajibu wao wanaojitambua , watanzania wamechoka na wabunge wa kupiga meza kwa kura za ndiyo...
 
hili jamaa pale mkwawa high school lilikuwaga boya boya tu, any way aliona fursa akaitumia..pamoja na ukilaza wake.
 
Back
Top Bottom