sio yeye tu kwani hata Rosti tamu wa Azizi enzi zake uliwahi kumsikia akiongea chochote?Ila kwa wabunge wa CCM wengi wao kukaa kimya ni bora na busara kuliko kuzungumza.Mfano wa wabunge kama Komba (marehemu),Serukamba,Nkamia..et al walikuwa ni majanga tu.CCM walikuwa na wabunge wachache sana kule mjengoni kama vile Lembeli,Lugora ,Filikunjombe.
Ni kweli unachosema Nyangwine yeye kaajili watu wajanja janja wenye Siri kubwa ambao huviandika hivyo Vitabu kisha kumkabidhi na yeye kuwahadaa wasomaji kuwa katunga yeye na kuviandika yeye ! Huu ni Utapeli wa kitaaluma , sijui anamdanganya nani? Maana ni Kama anajidanganya mwenyewe , wengi welevu walishamshitukia kuwa Hajui Kiswahili vizuri hivyo ule uandishi hauendani na Kiswahili anachozungumza nyangwine , Kiswahili kibovu Kama Mkenya , nyangwine jipange Safari yako ya kurejea kijinini kuwa mkulima imewadia .Nyangwine mjanja sana. Anaandikiwa vile vitabu vya kitoto na walevi akina Masebo halafu anajidai kaandika yeye. Yaani singlehandedly jamaa kafanikiwa kuangamiza critical thinking ya vijana wetu. Yaani kila kitu wanategemea miongozo ya Nyangwine. Tatizo ni kwamba majibu mengi katika miongozo hiyo hayaendani na NECTA. Sasa wanakariri weee lakini mwisho wa siku wanaambulia zero huku Nyangwine yeye kimyaa ali mradi kapiga hela. Kuwa fisadi siyo lazima uwe kama Joka Makengeza ati!
Warudi bungeni wamesahau nini kule ni kwa wakwe zao?Ujinga mara moja wakati wa kwenda tu ,wananchi hawazezi kuwa wajinga mara mbili bana.Vipi kibajaji au profesa maji marefu ? Hata wale wa viti maalum akina mama Rwakatare watatejea tena?
.Wabunge Posho wapo wengi kila mkoa kuna wabunge posho tena wengi ni wale wa kutoka Zanzibar Hawa ni kuchukua posho tu hawaongei au kuchangia hoja zozote zile.
Ni kweli muungano hawautaki wao wana Rais wao, bunge Lao, baraza la wakilishi , bendera Yao, wimbo wao w taifa, na sasa wapo busy kubuni sarafu Yao , muungano hawautaki ndiyo maana Mbunge wa bara hawezi kufika baraza la waklishi , lakini wabunge wao Dodoma wanavuna posho kisha kukaa kimya kupiga meza kura za ndiyooo... , cha Zanzibar ni cha Zanzibar tu , lakini cha Tanganyika ni cha woote. Mpaka hapa Umeona Zanzibar ni wajanja mbele ya Tz bara .Warudi bungeni wamesahau nini kule ni kwa wakwe zao?Ujinga mara moja wakati wa kwenda tu ,wananchi hawazezi kuwa wajinga mara mbili bana.
.
Waongee nini ilhali wao wana wa kuwasemea kule kwao?Hapa bara wabnalazimishwa kuja maana hata huo muungano hawautaki.Unaweza kumlazimisha kumfikisha punda mtoni lakini huwezi kumlazimisha kunywa maji.Habari ndo hiyo.
Ni kweli unachosema Nyangwine yeye kaajili watu wajanja janja wenye Siri kubwa ambao huviandika hivyo Vitabu kisha kumkabidhi na yeye kuwahadaa wasomaji kuwa katunga yeye na kuviandika yeye ! Huu ni Utapeli wa kitaaluma , sijui anamdanganya nani? Maana ni Kama anajidanganya mwenyewe , wengi welevu walishamshitukia kuwa Hajui Kiswahili vizuri hivyo ule uandishi hauendani na Kiswahili anachozungumza nyangwine , Kiswahili kibovu Kama Mkenya , nyangwine jipange Safari yako ya kurejea kijinini kuwa mkulima imewadia .
Ni kweli unachosema Nyangwine yeye kaajili watu wajanja janja wenye Siri kubwa ambao huviandika hivyo Vitabu kisha kumkabidhi na yeye kuwahadaa wasomaji kuwa katunga yeye na kuviandika yeye ! Huu ni Utapeli wa kitaaluma , sijui anamdanganya nani? Maana ni Kama anajidanganya mwenyewe , wengi welevu walishamshitukia kuwa Hajui Kiswahili vizuri hivyo ule uandishi hauendani na Kiswahili anachozungumza nyangwine , Kiswahili kibovu Kama Mkenya , nyangwine jipange Safari yako ya kurejea kijinini kuwa mkulima imewadia .
Ni kweli unachosema Nyangwine yeye kaajili watu wajanja janja wenye Siri kubwa ambao huviandika hivyo Vitabu kisha kumkabidhi na yeye kuwahadaa wasomaji kuwa katunga yeye na kuviandika yeye ! Huu ni Utapeli wa kitaaluma , sijui anamdanganya nani? Maana ni Kama anajidanganya mwenyewe , wengi welevu walishamshitukia kuwa Hajui Kiswahili vizuri hivyo ule uandishi hauendani na Kiswahili anachozungumza nyangwine , Kiswahili kibovu Kama Mkenya , nyangwine jipange Safari yako ya kurejea kijinini kuwa mkulima imewadia .
Kama kunenepa kweli jamaa kanenepa...Nyie mmekaa kufikiria Kichuri tu yeye anatengeneza pesa nani kasema kitabu lazima uandike wewe ndio ukipe jina, Busala zinawapa vitambi tu Wakurya
Nyie mmekaa kufikiria Kichuri tu yeye anatengeneza pesa nani kasema kitabu lazima uandike wewe ndio ukipe jina, Busala zinawapa vitambi tu Wakurya
Kama kunenepa kweli jamaa kanenepa...
Hata kama unaandikiwa na ghost writers basi hakikisha kuwa kitabu kina ubora kulingana na hadhi ya jina lako siyo maghost writers wako wanaripua halafu na wewe unatia jina lako. You gonna drag your name in the mud. But again this Bongo. Who cares ali mradi mtu umepiga hela haijalishi hata kama unaaangamiza kizazi kizima. Corrupt leaders come in every shape and every flavour my friend...