Nyamachoma na mbwembwe zinawasaidia nini Arusha?

Nyamachoma na mbwembwe zinawasaidia nini Arusha?

Lord Denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
23,494
Reaction score
57,869
Tunajua nchi yetu imejifia. Mifumo haifanyi kazi, na ujinga ndo kila kitu. Si TAKUKURU, si TISS, si Mahakama, si JWTZ si POLISI si Serikali Kuu kote kumeoza.

Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki.

Tunajua sasa chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kuthibitisha ujinga wa Mtu mweusi kwenye sanduku la mpiga kura.

Pamoja na haya yote kilichonishangaza zaidi ni masikini kulishwa nyama choma ili mtu akachukue fomu ya kugombea ubunge.

Pamoja na yote haya kinachonishangaza ni masikini kutumika kwenye mbwembwe za kuwafanya kikundi kidogo cha Wanasiasa kuendelea kujineemesha na utajiri wa hili Taifa.

Kwa niliyaona Arusha leo. Acha tu Afrika tuendelee kuitwa bara la giza.
 
Ukipata fursa, ifanye kila siku iwe kama sherehe kwako. Kula nyama choma, kunywa wine, kunywa maji ya kutosha. Maisha ni hayahaya. Ishi tu ndg yangu
 
Tunajua nchi yetu imejifia. Mifumo haifanyi kazi, na ujinga ndo kila kitu. Si TAKUKURU, si TISS, si Mahakama, si JWTZ si POLISI si Serikali Kuu kote kumeoza.

Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki.

Tunajua sasa chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kuthibitisha ujinga wa Mtu mweusi kwenye sanduku la mpiga kura.

Pamoja na haya yote kilichonishangaza zaidi ni masikini kulishwa nyama choma ili mtu akachukue fomu ya kugombea ubunge.

Pamoja na yote haya kinachonishangaza ni masikini kutumika kwenye mbwembwe za kuwafanya kikundi kidogo cha Wanasiasa kuendelea kujineemesha na utajiri wa hili Taifa.

Kwa niliyaona Arusha leo. Acha tu Afrika tuendelee kuitwa bara la giza.
Kama hauishi arusha, acha wa arusha waishi
 
Tunajua nchi yetu imejifia. Mifumo haifanyi kazi, na ujinga ndo kila kitu. Si TAKUKURU, si TISS, si Mahakama, si JWTZ si POLISI si Serikali Kuu kote kumeoza.

Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki.

Tunajua sasa chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kuthibitisha ujinga wa Mtu mweusi kwenye sanduku la mpiga kura.

Pamoja na haya yote kilichonishangaza zaidi ni masikini kulishwa nyama choma ili mtu akachukue fomu ya kugombea ubunge.

Pamoja na yote haya kinachonishangaza ni masikini kutumika kwenye mbwembwe za kuwafanya kikundi kidogo cha Wanasiasa kuendelea kujineemesha na utajiri wa hili Taifa.

Kwa niliyaona Arusha leo. Acha tu Afrika tuendelee kuitwa bara la giza.
Ndo akili za watanzania. Unapewa nyama choma Leo,unapeleka mtu kulipwa 18M per month katika uchaguzi usio uchaguzi Bali uchafuzi
 
Acha "machalii/wadudu" na wao waenjoy hizi pilika pilika walikuwa wanaona kwenye Tv watu wa Dar tu wakienjoy.
 
Arusha ni jamii ya vijana wapumbavu wasiojua hata wao ni kina nani na wanataka nini, uhuni kwao ndo fahari.
 
Tunajua nchi yetu imejifia. Mifumo haifanyi kazi, na ujinga ndo kila kitu. Si TAKUKURU, si TISS, si Mahakama, si JWTZ si POLISI si Serikali Kuu kote kumeoza.

Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki.

Tunajua sasa chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kuthibitisha ujinga wa Mtu mweusi kwenye sanduku la mpiga kura.

Pamoja na haya yote kilichonishangaza zaidi ni masikini kulishwa nyama choma ili mtu akachukue fomu ya kugombea ubunge.

Pamoja na yote haya kinachonishangaza ni masikini kutumika kwenye mbwembwe za kuwafanya kikundi kidogo cha Wanasiasa kuendelea kujineemesha na utajiri wa hili Taifa.

Kwa niliyaona Arusha leo. Acha tu Afrika tuendelee kuitwa bara la giza.
We takataka ni maiti inayotembea, siwezi kusoma huu uchafu wako. Km vp jitundike tu yaishe
 
Tunajua nchi yetu imejifia. Mifumo haifanyi kazi, na ujinga ndo kila kitu. Si TAKUKURU, si TISS, si Mahakama, si JWTZ si POLISI si Serikali Kuu kote kumeoza.

Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki.

Tunajua sasa chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kuthibitisha ujinga wa Mtu mweusi kwenye sanduku la mpiga kura.

Pamoja na haya yote kilichonishangaza zaidi ni masikini kulishwa nyama choma ili mtu akachukue fomu ya kugombea ubunge.

Pamoja na yote haya kinachonishangaza ni masikini kutumika kwenye mbwembwe za kuwafanya kikundi kidogo cha Wanasiasa kuendelea kujineemesha na utajiri wa hili Taifa.

Kwa niliyaona Arusha leo. Acha tu Afrika tuendelee kuitwa bara la giza.
We unayefuatilia wasiokuhusu ndio mpumbavu zaidi, unataka kila mtu awe mshamba km wewe? Wacha waishi style wanayoitaka, ht hivyo hiyo ni mikoa ya nyama unataka iwe km Mbeya, Ruvuma, Iringa na wenzao wanaofanana nao? Arusha ina life style yake nini kinakukera, pilipili usisozila zakuwashia nini we kibwengo? Unawaonea wivu?
 
Tunajua nchi yetu imejifia. Mifumo haifanyi kazi, na ujinga ndo kila kitu. Si TAKUKURU, si TISS, si Mahakama, si JWTZ si POLISI si Serikali Kuu kote kumeoza.

Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki.

Tunajua sasa chaguzi za Tanzania ni kiini macho tu kuthibitisha ujinga wa Mtu mweusi kwenye sanduku la mpiga kura.

Pamoja na haya yote kilichonishangaza zaidi ni masikini kulishwa nyama choma ili mtu akachukue fomu ya kugombea ubunge.

Pamoja na yote haya kinachonishangaza ni masikini kutumika kwenye mbwembwe za kuwafanya kikundi kidogo cha Wanasiasa kuendelea kujineemesha na utajiri wa hili Taifa.

Kwa niliyaona Arusha leo. Acha tu Afrika tuendelee kuitwa bara la giza.
We kajenge magorofa, acha wala nyama wale nyama zao.
 
"Utaalam hauheshimiwi na uchawa ndo umetamalaki."
 
Hakuna sehemu isiyokuwa na wajinga sasa waliopo wachache wapewa nyama lazima wawepo ili mizani ibalance ila wenye akili timamu wapo
 
Back
Top Bottom