financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 18,190
- 43,503
Niambie mkuuFinancial kama financial 😊😊😂😂😂
Niambie mkuuFinancial kama financial 😊😊😂😂😂
Jamii ya kenge ni kama samaki na hata majoka mm nimewai kula MAMBA South Africa..Nimekumbuka kenge wa chuo wale hivi unamlaje kenge jamani si kujitafutia sumu tu huko😀
Akiwekewa tangawizi,ndimu,chumvi je?Ni ya kwel hayo fisi ukikanyaga mavi yake hata ukigusa ngozi yake unaugua sembuse kumla😊😊😂😂😂😂
Fisi ni abnormal creatures maana hata wanyama Wala nyama Huwa Hawa angaikagi nae 😂😂😊😊😊Akiwekewa tangawizi,ndimu,chumvi je?
Halafu una njaa
Acha njaa iniue tu mkuu, fisi kweli?Akiwekewa tangawizi,ndimu,chumvi je?
Halafu una njaa
Duh ana muonekano flani sijawahi kuuelewa😌 acha niwe tu vegetarian kama hamna nyama zingine🤔Jamii ya kenge ni kama samaki na hata majoka mm nimewai kula MAMBA South Africa..
Mamba mtamu sana dats sishangai watu kula kenge😊😊😊
Kuna clip niliona huko Ethiopia wanamla,kama Hana sumu ni virutubisho tu utapata coz anakula vitu vingi tofautiFisi ni abnormal creatures maana hata wanyama Wala nyama Huwa Hawa angaikagi nae 😂😂😊😊😊
Mamba ni mtamu kama unakula minofu ya Sangala wa NILE PEARCH MWANZA pale jirani na MWATEX nyakato MWANZA TANZANIA 🇹🇿🇹🇿Duh ana muonekano flani sijawahi kuuelewa😌 acha niwe tu vegetarian kama hamna nyama zingine🤔
Unacheza na njaa ilinifanya Nile ndizi mbichi na maboga mabichi Moshi miaka hiyoAcha njaa iniue tu mkuu, fisi kweli?
Haa kwamba kupika uliona itachukua muda ama 😀😀 poleUnacheza na njaa ilinifanya Nile ndizi mbichi na maboga mabichi Moshi miaka hiyo
Sawa mkuu ila Kuna njaa na hamu ya kula mkuu...Unacheza na njaa ilinifanya Nile ndizi mbichi na maboga mabichi Moshi miaka hiyo
Ni stori ndefu,ila kiufupi nilifanya msala mmoja mkubwa home nikakimbilia machakaniHaa kwamba kupika uliona itachukua muda ama 😀😀 pole
Kanga nyama yake huwa ni nyeusi flani ni nyama nzuri kuliko kuku wanaopigwa chanjo kila kukichaOhoo ok kama mko porini it makes sense, ila ingeshtua sana kama tu kwa hali ya kawaida mkamla fisi miguu mifupi😀
Kuna siku kijijini kwetu tulipata yule Kanga pori, master mimi mwenyewe mama anaogopa, nikamuandaa picha linaanza naona ana kama ngozi flani nyeusi kidogo ila viungo vyote ni kuku kabisa. Kwenye kula nilisumbuka nikitaka kutafuna na kumeza nahisi kama ni sumu hivi haikupita kabisa kooni, wadogo zangu ndiyo kabisaa wakati naandaa walivyooona tu walisema kabisa wanaogopa hawatokula. Sitosahau😀😀
Acha tu njaa ni ishara ya kua unatakiwa ule usipokula utakufaSawa mkuu ila Kuna njaa na hamu ya kula mkuu...
Naijua njaa naijua dhiki inafananaje hasa ukikosa upendo wa wazazi na ndugu wakasema hawakutaki mpenzi wa moyo wako akakimbia😊😊🤓🤓🤓😂😂
Mkuu,Nyama ya kenge nilialikwa kula ila tatizo ni rangi ile nyeusi na pia hata uipike masaa bado inatetemeka tu
Inatisha kwa ujumla na pia simpendi huyu kiumbe
Kasoro jiwe,Alichoumba Mungu cha kumemenaa