Hapo kwenye jinamoto.Jina moto na tangawizi,
Hata utumbo unaosifika ni mgumu kwa hivyo vitu viwili unalainika faster
Asante kwa ufafanuzi mkuu.Hapo kwenye jinamoto.
Hiki kiungo kinaitwa MSG kwa kirefu ni monosodium glutamate.
Kwa hapa bongo, kuna brand ya MSG ilikuja kutoka japan ikiitwa Ajinomoto (jina la kampuni wanaotengeneza), na sisi tumefanya kama ndio kiswahili rasmi.
Tunaelimishana tu.
Na mimi nachukia sana nyama ngumu.
Sijawahi kutumia jinamoto nasikia sio nzuriSiunajua kupima jinamoto? Unaweka na tangawizi nyingii, mambo yanakua buruburu!!
π³ina madhara yapi?Sijawahi kutumia jinamoto nasikia sio nzuri
Kwenye utumbo lakini pia kwa wanaume nasikia sio nzuriπ³ina madhara yapi?
Mimi huwa natumia nikipika utumbo tu
Mfyuuu!! πππTanzania mapishi huwa ni zero
Kabisa
Nilivyoendaga US sikuwahi kukutana na chakula kibovu
ππππ
Tanzania mapishi huwa ni zero
Kabisa
Nilivyoendaga US sikuwahi kukutana na chakula kibovu
Roho huwa inaniuma nakunywa supu nashindwa kuvuta nyama za kwenye mifupa kisa ngumu, nikicheki watu wananiangalia.
USA river labda.
Acha bangi.
Sidhani kama tunatakiwa kulaumu wachawi kwenye hii issue, au sio Mama KK?πππππ
Mimi nikiona issue ya kuhusu nyama mwili wote unasisimka, sijui nani kaniloga maskiini..!!
acheni dharau wakuuMfyuuu!! πππ
US ya Ilomba au mama John?
Tangawizi ya unga inafaa...!?Jina moto na tangawizi,
Hata utumbo unaosifika ni mgumu kwa hivyo vitu viwili unalainika faster
YesTangawizi ya unga inafaa...!?
Halafu wakisindika kwenye makopo watu wanaanza kuipiga vita kuwa si mzuri kwa afya. So lipi ni lipi licha ya hizo sifa ulizotaja mkuu...!?1. Wenzetu wanajua kutunza mifugo
2. Kuna umri wa mnyama kuchinjwa na sio mnyama mzee
3. Wanajua kuiandaa nyama kwa kuilainisha na viungo
HUku nyama tunachinja wazee wa mifugo
Afrika na Tanzania tunachojua ni ukoseaji wa kijinga tu.Halafu wakisindika kwenye makopo watu wanaanza kuipiga vita kuwa si mzuri kwa afya. So lipi ni lipi licha ya hizo sifa ulizotaja mkuu...!?
Umeanza michezo ya Vincenzo JrTanzania mapishi huwa ni zero
Kabisa
Nilivyoendaga US sikuwahi kukutana na chakula kibovu