Nilikua nishazoea ninanunua kilo 5 kila mara kwa ajili ya Familia kwa shilingi 14000 but sasahivi kilo 5 nimenunua kwa 16000 ongezeko la shilingi 2000 kwa kilo 5
Nyama nayo imepanda, kilo tulikua tunanua elfu 7500 kwa 8000 huku Goba sasahivi nyama kilo ni 9500 kwa elfu 10
Nimesikia watu wakisema nauli za usafiri wa umma daladala zimepanda pia japo sina uhakika na hili jambo lakini hii italeta athari sana kwa wanaopanda daladala
December sio lazma utumie hela, wewe hakikisha una connection, nyama kuna sehemu ni bure kabisa. Pombe ndo usiseme, peleka familia kwa wazazi. Kula bata baba.
Mbona mnasahau utamaduni, its december for families. Send them home bro.
Bado haujasema mkuu,sahizi ukikaa na familia Anza kusifia maharage jinsi yalivyo naprotini kuliko nyama,labda wanaweza kukuelewa na labda sikukuu watakubali wapikiwe pilau harage.