namba moja tuu
Senior Member
- May 4, 2017
- 162
- 142
Habari watu wa JF,
Naomba kupewa ufafanuzi kwanini nyama iliyofunika jicho ya juu huwa inatetema kwa muda mara kadhaa imekua ikijirudia.
Hii au inamaana gani kutokea hivi au ni tatizo pia?
Natanguliza shukrani karibu.
Naomba kupewa ufafanuzi kwanini nyama iliyofunika jicho ya juu huwa inatetema kwa muda mara kadhaa imekua ikijirudia.
Hii au inamaana gani kutokea hivi au ni tatizo pia?
Natanguliza shukrani karibu.