ufipa wana matatizo sana ,wasamehe tuKinachoniuma ni kuwa watu mnamshangilia blindly, wakati hapo awali vilevile mlikuwa mkimponda kwamba anawapandisha ndege Twiga na wanyama wengine. Kweli, nimeamini ukiwa CDM hata uwe mwizi basi wewe ni shujaa. Mie madarasa nishamaliza ndugu yangu. I don't need any more classes