Lakini gharama za maisha Urusi ziko chini. Thamani ya fedha yao haitetereki kama midafu dafu
Thamani ya pesa na ughali wa maisha wap na wap mkuu ?!Unaijua thaman ya ruble mkuu
Ipo kaa nchi za africa yani its like 36Tsh
Thamani ya pesa na ughali wa maisha wap na wap mkuu ?!
Pesa inawezekana ikawa haina thamani ila maisha yao yakawa yanaendana na uhalisia wathamani ya pesa yao
Halaf RUSSIA Haipo Kama Mnavyomezeshwa Na Wamagharibi
Ndio kitu nilisikia kwamba hawa jamaa bei ya mkate 1999 ndio imesimama hadi leo. Kwa hiyo sio kama sisi ambao kila uchao bei ya kilo ya unga na sukari vinakamata kasi.Thamani ya pesa na ughali wa maisha wap na wap mkuu ?!
Pesa inawezekana ikawa haina thamani ila maisha yao yakawa yanaendana na uhalisia wathamani ya pesa yao
Halaf RUSSIA Haipo Kama Mnavyomezeshwa Na Wamagharibi
Ss huko unako kuaifia hujawah fika una jaj vp mkuu ?!Haina maajabu sana labda kwasababu bado sijabahatika kufika uko magharibu nikuonapo napo papoje ila urusi maajabu hakuna kabisa
Yaani RUSSIA Gharama Zamaisha Zipo Chini Sana Asee Wamagharibi 2 wana2lisha mtango pori kwasababu za chuki zao zakisiasa baina yao na RUSSIANdio kitu nilisikia kwamba hawa jamaa bei ya mkate 1999 ndio imesimama hadi leo. Kwa hiyo sio kama sisi ambao kila uchao bei ya kilo ya unga na sukari vinakamata kasi.
Alisikika mpuuzi mmoja mlevi wa gongo akisema...Nusu ya warusi ambayo ni kama watu 70 milioni wanaingiza chini ya Dola 550 kwa mwezi
Vikwazo vya magharibi vyatajwa kua moja ya chanzo.
Rais Putin aweka mkazo wa kuwaondoa kwenye umaskini
source: aljazeera
Kuwa muungwa mkuu!Alisikika mpuuzi mmoja mlevi wa gongo akisema...