200K
Member
- Apr 2, 2020
- 44
- 34
Barabarani unakutana na mwanamke mchuuzi maskini mwenye mtoto mgongoni,Unashusha kioo cha gari lako na kumuuuliza kwa sauti ya kijeshi
"UNAUZA BEI GANI HIVYO VITUNGUU NA HIZO NDIZI"?
Muuzaji maskini kwa upole anakujibu "shilingi elfu moja kwa kichane cha ndizi na shilingi elfu moja kwa fungu la vitunguu"
Kwa kiburi unamwambia unahitaji kichane cha ndizi kwa shilingi "mia tano" na fungu la vitunguu kwa shilingi "mia tano" au vinginevyo haununui
Muuzaji maskini anakubaliana na hali na kukujibu
"CHUKUA TU KWA BEI UNAYOTAKA,SIJAUZA CHOCHOTE TANGU ASUBUHI WALAU SASA NIPATE CHA KUNUNULIA WATOTO CHAKULA CHA USIKU"
Amepata hasara lakini Zaidi anaenda kukununulia mfuko wa kuweka bidhaa ulizo nunua
Unamwagiza afanye haraka vinginevyo utabadili mawazo
Anaomba msamaha na kwa tabasamu anakukabidhi bidhaa zako,anakubariki pia kwa kumuungisha.
Unamrushia hela na kuchomoka kwa kasi na kumwachia wingu la "vumbi" na moshi linalomfunika yeye na mtoto
Anakohoa wakati anaweka vizuri fedha kidogo alizopata.
#UMASKINI
unafika sasa kwenye Hotel ya nyota 5,ambapo unakutana na rafiki zako
Unawaambia waagize chakula na vinywaji kadiri wanavyotaka
Wanaagiza vyakula vya gharama kubwa na mabaki ya chakula ni mengi kuliko chakula walichokula
Gharama nzima inakua laki tano
Unalipa bila kuomba kupunguziwa,unampa muhudumu "tip" ya shilingi elfu kumi kama shukrani kwa chakula ambacho hamkula hata nusu yake.
"TUKIO HILI LINAWEZA KUONEKANA LA KAWAIDA KABISA KWAKO LAKINI SIO LA KIBINADAMU"
POINT NI KWAMBA
Kwanini kila mara tunaonesha tuna nguvu kubishania bei Wakati tunaponunua kutoka kwa maskini ?
Kwanini tunakua wakorofi tunaponunua kwa wahitaji ?
Kwanini tunaonesha ukarimu kwa wale ambao wala hawahitaji ukarimu wetu ?
kwanini tunaonesha "upole na utu" tunaponunua kwa watu matajiri ambao wanaona hela yetu Kama chenji ndogo tu ?
Kwanini tunaelekeza fedha zetu kwenye bahari ya fedha ?
TAFADHARI
nunua vitu rahisi kwa maskini kwa bei ya haki,wakati mwingine lipa na ziada unaponunua kutoka kwa mwanamke maskini.
TAFAKARI
"UNAUZA BEI GANI HIVYO VITUNGUU NA HIZO NDIZI"?
Muuzaji maskini kwa upole anakujibu "shilingi elfu moja kwa kichane cha ndizi na shilingi elfu moja kwa fungu la vitunguu"
Kwa kiburi unamwambia unahitaji kichane cha ndizi kwa shilingi "mia tano" na fungu la vitunguu kwa shilingi "mia tano" au vinginevyo haununui
Muuzaji maskini anakubaliana na hali na kukujibu
"CHUKUA TU KWA BEI UNAYOTAKA,SIJAUZA CHOCHOTE TANGU ASUBUHI WALAU SASA NIPATE CHA KUNUNULIA WATOTO CHAKULA CHA USIKU"
Amepata hasara lakini Zaidi anaenda kukununulia mfuko wa kuweka bidhaa ulizo nunua
Unamwagiza afanye haraka vinginevyo utabadili mawazo
Anaomba msamaha na kwa tabasamu anakukabidhi bidhaa zako,anakubariki pia kwa kumuungisha.
Unamrushia hela na kuchomoka kwa kasi na kumwachia wingu la "vumbi" na moshi linalomfunika yeye na mtoto
Anakohoa wakati anaweka vizuri fedha kidogo alizopata.
#UMASKINI
unafika sasa kwenye Hotel ya nyota 5,ambapo unakutana na rafiki zako
Unawaambia waagize chakula na vinywaji kadiri wanavyotaka
Wanaagiza vyakula vya gharama kubwa na mabaki ya chakula ni mengi kuliko chakula walichokula
Gharama nzima inakua laki tano
Unalipa bila kuomba kupunguziwa,unampa muhudumu "tip" ya shilingi elfu kumi kama shukrani kwa chakula ambacho hamkula hata nusu yake.
"TUKIO HILI LINAWEZA KUONEKANA LA KAWAIDA KABISA KWAKO LAKINI SIO LA KIBINADAMU"
POINT NI KWAMBA
Kwanini kila mara tunaonesha tuna nguvu kubishania bei Wakati tunaponunua kutoka kwa maskini ?
Kwanini tunakua wakorofi tunaponunua kwa wahitaji ?
Kwanini tunaonesha ukarimu kwa wale ambao wala hawahitaji ukarimu wetu ?
kwanini tunaonesha "upole na utu" tunaponunua kwa watu matajiri ambao wanaona hela yetu Kama chenji ndogo tu ?
Kwanini tunaelekeza fedha zetu kwenye bahari ya fedha ?
TAFADHARI
nunua vitu rahisi kwa maskini kwa bei ya haki,wakati mwingine lipa na ziada unaponunua kutoka kwa mwanamke maskini.
TAFAKARI