Nunua "used" ndege (Aircraft) Hapa

Nunua "used" ndege (Aircraft) Hapa

Kuna siku nilimwambia jamaa yangu kuwa nitanunua helicopter na hakuniamini. Wengi wetu hatujui kuwa kununua ndege mara nyingi ni sawa na kununua gari.
 
Kuna siku nilimwambia jamaa yangu kuwa nitanunua helicopter na hakuniamini. Wengi wetu hatujui kuwa kununua ndege mara nyingi ni sawa na kununua gari.

Na ukinunua ndege wanakuita Billionea ........................!:rockon:
 
Kwani kandege kadogo kama kanaweza kugharimu shilingi ngapi za kitanzania? Mimi mwenyewe nakahitaji. Tatizo la ndege ni kuwa huwezi kupark nyumbani!
 
Kuna siku nilimwambia jamaa yangu kuwa nitanunua helicopter na hakuniamini. Wengi wetu hatujui kuwa kununua ndege mara nyingi ni sawa na kununua gari.

Inaweza kuwa sawa kwa bei, lakini sio sawa kwa matumizi. Tatizo la ndege ni kwamba ni kwamba lazima pia uwe na gari, maana huwezi kila siku unatoka safari, unapark ndege airport, halafu unachukua taxi au Bodaboda kukupeleka nyumbani na kukurudisha airport. Aidha, huwezi kuwaringishia majirani, maana hakuna siku utakuja nayo nyumbani, hivyo, ukinunua ndege bila kuwa na gari, hata mwenye vitz ataonekakana wa maana kuliko wewe. Vile vile, huwezi kwenda nayo kwenye sherehe ya arusi au kitchen party. Na, inategemeana na safari zako, kama safari zako ni kutoka Tandale kwenda Tandika, ndege unanunua ya nini ?
 
Kuna siku nilimwambia jamaa yangu kuwa nitanunua helicopter na hakuniamini. Wengi wetu hatujui kuwa kununua ndege mara nyingi ni sawa na kununua gari.

Kwa Tanzania hasa Arusha kununua ndege ni ubilionea,mfano marehemu Bob/Babu Sambeke mpaka mijusi ilikuwa inamsujudia hapo Arusha kwa kuwa ndege
 
Wakati ndege yenyewe ni zile zilizouzwa na serikali laki tano za kupulizia dawa mashambani
 
Kuna siku nilimwambia jamaa yangu kuwa nitanunua helicopter na hakuniamini. Wengi wetu hatujui kuwa kununua ndege mara nyingi ni sawa na kununua gari.

Bei inaweza kuwa sawa, lakini matumizi ni tofauti. Kwa huwezi kuja na ndege nyumbani, hivyo, hutaturingishia mtaani, ukiwa na ndege unalazimika kuwa na gari ya kukutoa na kukurudisha unakopark hiyo ndege, maana huwezi kuwa na ndege halafu unakodi taxi au Bodaboda kukuleta na kukuridisha unakopark kila siku. Aidha, inategemeana na safari zako, kama unakaa Tandale na safari zako mara nyingi ni kwenda Tandika, ni gharama kuwa na ndege afadhali ununue vitz.
 
Bei inaweza kuwa sawa, lakini matumizi ni tofauti. Kwa huwezi kuja na ndege nyumbani, hivyo, hutaturingishia mtaani, ukiwa na ndege unalazimika kuwa na gari ya kukutoa na kukurudisha unakopark hiyo ndege, maana huwezi kuwa na ndege halafu unakodi taxi au Bodaboda kukuleta na kukuridisha unakopark kila siku. Aidha, inategemeana na safari zako, kama unakaa Tandale na safari zako mara nyingi ni kwenda Tandika, ni gharama kuwa na ndege afadhali ununue vitz.


Kumbe kuna kuringishiana eeeh?
 
Kumbe kuna kuringishiana eeeh?

Ukiwa na gari, kama mvua inayesha wewe unatoka na kuendelea na safari; na ukipita uturushia maji, jirani yako ambaye hana anasubiri mpaka mvua iishe utafanya hayo na ndege chakavu ya 500,000/= unayofikiria kununua ?
 
ushauri mdogo tu kwa kila anetaka kununua ndege..

Gharama za "maintenance " ni kichaa kuliko mnavyofikiri..
ukitaka kununua ndege hakikisha unafedha zaidi ya ku keep up na maintenance..
na engine ya ndege ikifikisha miaka fulani inatakiwa kubadilishwa.

ukiweka insurance hapo kila mwezi duuhh..
halafu avgass sasa ndege kama cherokee 140 ina kunywa 32lts/hr.
na kama huna Private Pilot Licence , utatakiwa kumlipa rubani ..

piga mahesabu kabla hujajiingiza kwenye balaa.
elewa kila kitu kwanza na angalia kama kweli kina faida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom