Acha tu nichelewe kuna watu wanaendesha magari yenye namba T ... ASS.
Habari nzuri,hujambo nilikukosa sis.hii hata mimi nimeiona....hihihihi....uporoto01 habari za siku nyingi
Haya maneno kweli yameandikwa kweli na nzireye ambaye ni JF Senior Expert Member? Yanafundisha nini hasa? Wana JF watayajadili namana gani; na kwa faida gani? Ahaa, lakini endelea, wakati mwingine akili inapswa kupumzika kufikiria mambo ya maana.
acha turelax sometimes kwa kucheka sio kila saa kuumiza vichwa.
Je hakuna T....CCM?
T.....CDM?
T.....JKT?
T....CUF?
T....MKE?
T....MME?
Mkuu endeleza kutujuvya hapa km zipo hizo namba
Heshima kiongozi,nimecheka sana na post yako mkuu...yaani very many thanks dude for reducing my stress!!.........then mkuu toa makavu tu,anayesema kuwa uwezi jifunza kitu au pata faida kwenye jokes,utani na udaku nani?????there iz alot to learn and gain katika hili jukwaa mkuu........tell them aloud buddy we have alot to gain from laughing and nothing to lose from this jukwaa ukicompare na majukwaa mengine full of stress!......"LAUGHING IS THE WAY FOR US FOR LONG LIFE"what else does he/she need?hey senior member ,penda kufikiria in simple ways for complicated situations,kuna muda wa kurelax na kwenda nje ya matatizo ya tz,kuwa kwangu jf senior expert member kusiwe kikwazo kwako kwani mie ni kama kinyonga nina-change kufuatana na jukwaa ambalo nipo ,sasa weye unataka jifunza kitu au kupata faida ktk jukwaa la jokes na udaku ,mmmmmh!! makubwa hayo,its better ukaenda jukwaa la inteligensia,siasa,habari na hoja,dini,mmu na lile la mambo ya kikubwa labda utajifunza na kupata faida ,otherwise kama huna bandama huku usikanyage .
hey senior member ,penda kufikiria in simple ways for complicated situations,kuna muda wa kurelax na kwenda nje ya matatizo ya tz,kuwa kwangu jf senior expert member kusiwe kikwazo kwako kwani mie ni kama kinyonga nina-change kufuatana na jukwaa ambalo nipo ,sasa weye unataka jifunza kitu au kupata faida ktk jukwaa la jokes na udaku ,mmmmmh!! makubwa hayo,its better ukaenda jukwaa la inteligensia,siasa,habari na hoja,dini,mmu na lile la mambo ya kikubwa labda utajifunza na kupata faida ,otherwise kama huna bandama huku usikanyage .
Mkuu nziriye usihofu tunakufagilia kama kawa tu,sio lazima usikilize kila hasira za mtu wengine wamezihamishia toka majumbani kwao huko
acha turelax sometimes kwa kucheka sio kila saa kuumiza vichwa.
Je hakuna T....CCM?
T.....CDM?
T.....JKT?
T....CUF?
T....MKE?
T....MME?
Mkuu endeleza kutujuvya hapa km zipo hizo namba