Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,760
Nunda alikuwa yupo darasani na siku hii mwalimu aliuliza darasa ,Je mnaweza kufikiria Mungu anaishi wapi ?Au Mungu yupo wapi ?
Akanyanyua mtoto mmoja wa kike akasema Mungu yupo Mbinguni kwa sababu huko ndiko iliko Pepo ,mwalimu akasema sawa jawabu zuri ,mwengine kama yupo akatokea mtoto mwengine yeye akasema Mungu yupo katika nyoyo zetu ,mwalimu akaonekana kufurahi na kutabasamu huku akisema nzuri sana .
Haya kama yupo mwengine ? Darasa zima ilionekana hakuna alienyoosha mkono isipokuwa Nunda peke yake ,dah mwalimu akaona huu sasa mtihani ,kwani alijitahidi kumkwepa na kumpotezea,ila hakuna budi :confused2:
Mwalimu ; Haya Nunda unafikiria Mungu yupo wapi ?
Nunda :Chooooni.
Mwalimu ; Chhooni ? ,huku mwalimu akiwa hajaamini jawabu alilopewah.
NUNDA;Ndio mwalimu kwani kila siku asubuhi baba honigongea mlango wa chooni marakwamara na kusema.."GOD, are you still there ?":becky:
Akanyanyua mtoto mmoja wa kike akasema Mungu yupo Mbinguni kwa sababu huko ndiko iliko Pepo ,mwalimu akasema sawa jawabu zuri ,mwengine kama yupo akatokea mtoto mwengine yeye akasema Mungu yupo katika nyoyo zetu ,mwalimu akaonekana kufurahi na kutabasamu huku akisema nzuri sana .
Haya kama yupo mwengine ? Darasa zima ilionekana hakuna alienyoosha mkono isipokuwa Nunda peke yake ,dah mwalimu akaona huu sasa mtihani ,kwani alijitahidi kumkwepa na kumpotezea,ila hakuna budi :confused2:
Mwalimu ; Haya Nunda unafikiria Mungu yupo wapi ?
Nunda :Chooooni.
Mwalimu ; Chhooni ? ,huku mwalimu akiwa hajaamini jawabu alilopewah.
NUNDA;Ndio mwalimu kwani kila siku asubuhi baba honigongea mlango wa chooni marakwamara na kusema.."GOD, are you still there ?":becky: