Miss Champagne
JF-Expert Member
- Sep 2, 2020
- 2,157
- 6,309
Habari mi ni binti umri 27
Nina changamoto ninazopitia zinazonifanya nikae nyumba ni mda mwingi na kukosa kazi.
Nahitaji kazi ya upishi mahali penye nafasi kama hiyo.
Vyakula vingi nnavyoweza ni vya kiafrika mfano pilau,ugali, wali, tambi, nyama roast, samaki, maini nk!
Nina changamoto ya viganja vya miguu lakini kufanya kazi mahali pamoja naweza na jiko nahimili
Kama unajua anaehitaji ama inahitaj
Napatikana mkoa wa Dar es salaam
Asante
Nina changamoto ninazopitia zinazonifanya nikae nyumba ni mda mwingi na kukosa kazi.
Nahitaji kazi ya upishi mahali penye nafasi kama hiyo.
Vyakula vingi nnavyoweza ni vya kiafrika mfano pilau,ugali, wali, tambi, nyama roast, samaki, maini nk!
Nina changamoto ya viganja vya miguu lakini kufanya kazi mahali pamoja naweza na jiko nahimili
Kama unajua anaehitaji ama inahitaj
Napatikana mkoa wa Dar es salaam
Asante