Ntapataje Clouds TV kwenye king'akuzi cha Startimes?

Ntapataje Clouds TV kwenye king'akuzi cha Startimes?

mnyongeni

Senior Member
Joined
Dec 6, 2011
Posts
141
Reaction score
24
Habari, mimi napatikana kahama shinyanga nimenunua king'amuzi cha startimes mwezi uliopita 03/2015. Kwa promotion ya sh. 39000, nikapewa ofa ya kifurushi cha sh. 10000 kwa miezi mitatu. Tatizo kwenye local channels haipo clouds tv. Nikajaribu kumuuliza mtu aliyeko pwani naye anatumia startimes decoder akasema ipo. Frequency tunatumia wote za 451. Msaada please.
 
clouds tv kwenye startimes kanda ya ziwa haimo,kwa dar ipo;sehemu nyingine sijui
 
Iko hivi.Baadhi ya tv channel tz zina leseni za kiwilya hazitakiw kuonekana national wide kama clouds tv nk.pia hivyo vituo huchagua vyenyewe coverage limit .siyo kila mkoa utaweza tazama channel sawa na walioko dar hilo sahau ndugu na pole sana.channel za kitaifa ni TBC,ITV,Channel ten,Star tv na EATV
 
Watuonee Huruma kwan kwa bongo yetu hakuna TV ya ukwel unayo weza kuitazama saa24 kama clouds nynge upuputu
 
Iko hivi.Baadhi ya tv channel tz zina leseni za kiwilya hazitakiw kuonekana national wide kama clouds tv nk.pia hivyo vituo huchagua vyenyewe coverage limit .siyo kila mkoa utaweza tazama channel sawa na walioko dar hilo sahau ndugu na pole sana.channel za kitaifa ni TBC,ITV,Channel ten,Star tv na EATV
KIWILAya ? Rekebisha kauli mkuu....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom