Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
em jiweke ktk position ya mtoa mada, afu tafakari kdogo. Uje na jibu.
nimetafakari ila ningemuelewa huyo mpenzi wangu. kuna kipindi nilipataga matatizo na bf wangu alikua anapiga hata Mara 20 lakin nilikua tu sina mood ya kuongea nae kutokana na yaliyokua yamenisibu. sim inaita hadi inakata nashukuru alikuwaga muelewa wa hali yay juu kipindi hiko.
haina haja ya kuanza kuweka hizo negativity..... jaribu kufikiria positive tu hasa katika hiyo crisis girlfriend wake anyoiface