Dennis Robert Shughuru
JF-Expert Member
- May 30, 2024
- 4,125
- 6,141
Tunafahamu kwenye universe kuna sayari nyingi sana, nyota, satellite za asili, vimondo n.k
Hakuna mwenye hatimiliki ya space ni ya wanadamu wote bila kujali rangi yao
Nikiwa Rais wa Tanzania ntaanzisha space colonisation mission na itakua na kazi zifuatazo
www.jamiiforums.com
Hakuna mwenye hatimiliki ya space ni ya wanadamu wote bila kujali rangi yao
Nikiwa Rais wa Tanzania ntaanzisha space colonisation mission na itakua na kazi zifuatazo
- Kutengeneza artifical ozone layer za sayari, na satellite za asili, na kumbuka magnetic field na ozone layer ni kitu kimoja hamna tofauti yeyote ile
- Kutengeneza new star system like solar system from sratch
- Kutengeneza sayari from scratch
- Kuactivate satellite za asili ili ziweze kufacilitate mawasiliano
- Kuactive nyota kama Jupiter, na Saturn ambazo haziko active na ziwe active ili barafu kule uranus, neptune na Pluto ziweze kuondoka, na hii itaenda sambamba kwa kuongeza layer nyingine ya ozone layer hapa duniani ili kuendana na mabadiliko ya Saturn na Jupiter ambazo zitakuwa active
Support hustle zangu mimi Rais mtarajiwa wa Tanzania
Maandalizi na mchakato wa kuwa Rais wa Tanzania yanaendelea at the same time harakati za kutafuta rizki zinaendelea in-short maisha lazima yaendelee JAMANI NAOMBA MNIUNGISHE Historia nzuri ni ile inayoandikwa in an ugly way, and awkward way 👇👇👇👇👇👇👇👇 Kwenye historia ya Tanzania ntakumbukwa kuwa...