Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 10,906
- 18,874
Kwa kuangalia gravitational effects zake.Huo uzito ùlipimwaje
Kwa kuangalia gravitational effects zake.Huo uzito ùlipimwaje
Afu anajiita msomi hajui hata uzito wa sayari unapatikanajeHuo uzito ùlipimwaje
UNAYAJUA HAYA MAMBO MKUU👏👏👏Nyota inahitaji nuclear fusion ili ifanye kazi na inavyojulikana hakuna kitu kinachoweza kutoka nje ya black hole hivyo sidhani kama kuna condition yoyote ya kuruhusu hyo fusion ndani ya black hole
Nyota kwenye early stage sidhani kama inaanza kama black hole, kumbuka black hole inakuwa na mass kubwa inaweza kufika hata mara elfu zaadi ya nyota hivyo nyota itawezaje kuwa kama black hole pia hakuna singularity kwenye hyo protostar
Ndo ulivyodanganywa na kukaririshwa hongeraAfu anajiita msomi hajui hata uzito wa sayari unapatikanaje
Kumbe huna akili sasa hiyo elimu yako ya anga umeipata wapi kama sio kutoka kwa wanaume wenzio kama kina Newton ambao ni hao hao kina NASA wanatumia formula zao kufanya mabalaa duniani??Kumbe ni upuuzi tu unatuletea humuNdo ulivyodanganywa na kukaririshwa hongera
Kwani elimu ya anga ni hatimiliki ya NASA hao NASA WENYEWE WAMECOPY KUTOKA KWA WAGIRIKIF=GM1M2/R2
Kumbe huna akili sasa hiyo elimu yako ya anga umeipata wapi kama sio kutoka kwa wanaume wenzio kama kina Newton ambao ni hao hao kina NASA wanatumia formula zao kufanya mabalaa duniani??Kumbe ni upuuzi tu unatuletea humu
F=GM1M2/R2 kama sijasahau na derives yake ipo