jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,969
- 1,392
Nakumbuka miaka hiyo Nsumba wanapanda gari za chai maharage kwenda Bwiru girls Disco..hahaha
Sent from my SM-N920L using JamiiForums mobile app
Sent from my SM-N920L using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama sikosei darasa la form 4 C...Ubora wa wana nsumba na uniform
Enzi za mgomo huo mwaka huo nami nilikuwepo hapo Nsumba.Zakeo Zuma alinipga suspension ya miezi 6. Siku naludi nikachelewa siku moja akaniongeza tena miezi 6 akiwa na Kobuteba. Wakati huo Nsumba ilikua zaidi ya Jeshi kipindi cha HM Msasa na Zuma msaidizi. Chakula kibovu sn ole wako uongee Zuma na Msasa wame jaza puppets wapata taarifa utajuta. Tuliwahi fanya mgomo Msasa akaondolewa baadhi ya mateso yakapungua. Wakati huo, GS Kateisaki alikua na power zaidi ya Mwalimu. Nsumba sintasahau jmn.
Hapana... Ni mkuu bwiru boys kwa sasaKaboja yupo Luchelele ni HM
Anaishi pale mchangani.. Alishastaafu.Kweli box 1212.
Enzi Hizo barua ndio mawasiliano makuu.
Mwl Machimu wa Maths yuko wapi?
Heshima kwako mzee.Duu watoto mnakumbushana mbali
Nilipita hapo 1989-1992
Nsumba ilikuwa NYATI kweli
Sent from my VFD 1100 using JamiiForums mobile app
Your my Dom mate.My school 2000~2003.... Enzi za Msasa, Makson, Kagua, Mgambo, Kengele.... Etc
Room 6, Sokoine!.... Enzi hizo Daniel Oduogi ni GS.... Hakuna kuspeak kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli hilo tukio lilitokea, nilipoenda kuanza shule nilikuta athari zake hasa kwenye uharibifu wa majengo hususani madirisha kuvunjwa viooSijasoma Nsumba ila hawa Braza angu kapita Hapo....Aseeh miaka ya 2005 km sikosei Vijana waifanya fujo hapo wapongo wakawadaka wa kutosha tu nimeingia BUTIMBA Magereza nakuta Vijana wamesweka mpaka Huruma....
KIMEO CHANGU
Unamjua Nyambina Mafuru its my brother from another motherMy school 2000~2003.... Enzi za Msasa, Makson, Kagua, Mgambo, Kengele.... Etc
Room 6, Sokoine!.... Enzi hizo Daniel Oduogi ni GS.... Hakuna kuspeak kiswahili
Sent using Jamii Forums mobile app