Zing
JF-Expert Member
- Jun 24, 2009
- 1,767
- 470
Unajua ile ripoti ya rushwa Tanzania iliyotolewa na PCCB inasema kuwa NSSF na hao PCCB wenyewe ndio least corrupt
inamaana Ikulu, CHADEMA, jesho la polisi, PPF, TRA, BIMA CCM na hata JF kuna rusha KASORO nssf na PCCB
Kwa hiyo NSSF inazizdi taasisi nyingine kwa kutokuwa na rushwa au tuseme kiwangao cha Rushwa NSFF ni cha kiwango cha chini kabisa tofauti na tasisi nyingine? haya tuendeleee kuwapongeza kwa kweli lakiniiiiiii................
Ni rushwa aina gani hiyo unayoshindanisha Polisi na NSSF. Core services business bjectives zikiwa tofauti ina maana hata rushwa inatakiwa ipimwe kwa vigezo, vyanzo na viashiria tofauti tofauti...... Au sio
Huwezi kupima rushwa ya hospitali ukalinganisha kwa vigezo hivyo hivyo na Rushwa ya Benki. Kwa haraka hara mtu unaweza kusema Hospitali ya mwananyamala ni more crrupt kuliko Benki ya NMB. lakini......
So Bora walinganishe mashirika yanaytoa huduma sawa la sivyo tutapenda kuona uchambuzi unachambua detail zaidi wich may prove otherwise