NSSF walipana Bil. 10/- posho za safari

NSSF walipana Bil. 10/- posho za safari

Ha ha NSSF. Yaani ungekuwa uamizo wangu nisinge jiunga na mifuko ya kijamii. Yaani hawa wanatuona mafala sana. Baba yangu toka 2014 mpak leo hajaipwa pesa yake. At shida pesa haijatoka serikalini. Hivi wao si ndo wanaingia mkataba. Kwanini hizo pesa mnazo tumia pasipo mpango msilipe hao wazee huku nyie mkiendelea kuikopesha serikali. Na hivi riba wanayo pata baada ya makisanyo tunanufaika nayo vip. Maana mtu anayekatwa pesa yake 2010 thamani yake haitakuwa sawa na 2030.

Je kitu inaitwa money time value mnaichukuliaje?. Ushauri wangu hawa watu wawe wanaandika technical report na kufanya presentation kwa mkulu na wapewe KPI ili mtegaji ajulikane. Moyo unaniuma sana kama kuna wazee wanadai pesa yao afu watu wanajiongeza allowance .

Hili swala limefanya tunao isoma namba ni watoto wa hao wazazi na kufanya mzigo kiwa mkubwa.
 
Gazeti la Nipashe la Novemba 14, 2016 limeripoti kuwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF umetumia zaidi ya shilingi Bilioni 10, fedha za wanachama wa NSSF, kwa ajili ya POSHO kwa mwaka 2014/2015. Matumizi mengine ni:
1. Overtime (kufanya kazi nje ya muda wa kawaida)-Bilioni 2.3
2. Kulipa vibarua-milioni 97.6
3. Semina-bilioni 3.3
4. Ruzuku za makazi ya wafanyakazi-Bilioni 7.02
5. Kulipa kodi za Pango-Bilioni 1.3 (hapa kuna uvundo mkubwa..inasadikika majengo ni ya kwao au huchukua cha juu)

Nadhani FAO la kujitoa LINAPIGIWA CHAPUO kufutwa ili hawa panya waendelee kuiba fedha za wanachama wao.
 
Back
Top Bottom