Nafikiri hizi ni habari njema. Nime-confirm na staff mmoja wa nssf makao makuu. Kumbe jamaa wanahitaji kuajiri watu 200 kutoka katika ile interview tuliofanya tar 13 dec pale ifm
MiMI SIHUSIKI BUT MUNGU WASAIDIE HAWA NDUGU JAMAA NA RAFIKI ZETU WAPATE HIYO AJIRA NSSF,KILA MTU ASHUKURU ASEME AMEN,WANAOSADIKI TUU NDO WATAKAO PATA SEMA AMEN
MiMI SIHUSIKI BUT MUNGU WASAIDIE HAWA NDUGU JAMAA NA RAFIKI ZETU WAPATE HIYO AJIRA NSSF,KILA MTU ASHUKURU ASEME AMEN,WANAOSADIKI TUU NDO WATAKAO PATA SEMA AMEN
MiMI SIHUSIKI BUT MUNGU WASAIDIE HAWA NDUGU JAMAA NA RAFIKI ZETU WAPATE HIYO AJIRA NSSF,KILA MTU ASHUKURU ASEME AMEN,WANAOSADIKI TUU NDO WATAKAO PATA SEMA AMEN
Nafikiri hizi ni habari njema. Nime-confirm na staff mmoja wa nssf makao makuu. Kumbe jamaa wanahitaji kuajiri watu 200 kutoka katika ile interview tuliofanya tar 13 dec pale ifm
staff kakwambia ???? acha zako wewe labda mlinzi ndio amekwambia huu uongo staff 200 0peration NSSF sio rahisi kihivyo wewe
subiri watu waitweee uone kama watafika hao 200.
then kama wewe ni msomi ingia kwenye website ya nssf isome vizuri financial statement yao uangalie kama ukuaji wao unaweza kuajiri watu 200
kalagabaho kwa sisi watanzania hata wewe kama sio ndugu ni rafiki au jamaa,u nikuitaje?hawa ndugu hili neno lina kosa?jamaa,rafiki sasa wewe ni nani kwetu sisi hapa wadau wa JF?
MiMI SIHUSIKI BUT MUNGU WASAIDIE HAWA NDUGU JAMAA NA RAFIKI ZETU WAPATE HIYO AJIRA NSSF,KILA MTU ASHUKURU ASEME AMEN,WANAOSADIKI TUU NDO WATAKAO PATA SEMA AMEN