cement
JF-Expert Member
- May 5, 2012
- 581
- 218
Wakuu heshima mbele
Baada ya kufanya kazi za kwa miaka kumi ss nimeamua kuacha nataka nijiajiri mwenyewe!
Nimekuwa mwanachama NSSF toka 2002 mpaka leo michango yangu ipo vizuri barua ya kuacha kazi ya mwajiri nimeshapeleka muda mrefu ss mwezi wa saba,kinachonishangaza taratibu zote nimefata lkn naambiwa eti pasu kwa pasu ss pesa nikatwe me harafu kuzitoa naambiwa nusu kwa nusu hii imekaaje!maombi ya pesa yangu yapo Ubungo Kinondoni mbona Rushwa zingine hazifai jmn??pesa yangu waikate imefika muda naihitaji masharti yanakuwa mengi.
Wadau naombeni msaada wa mawazo nichukue hatua gani?makoa makuu nimeenda nikaambiwa file liko ubungo nikifika ubungo longo longo kibaooooo!!!!
Baada ya kufanya kazi za kwa miaka kumi ss nimeamua kuacha nataka nijiajiri mwenyewe!
Nimekuwa mwanachama NSSF toka 2002 mpaka leo michango yangu ipo vizuri barua ya kuacha kazi ya mwajiri nimeshapeleka muda mrefu ss mwezi wa saba,kinachonishangaza taratibu zote nimefata lkn naambiwa eti pasu kwa pasu ss pesa nikatwe me harafu kuzitoa naambiwa nusu kwa nusu hii imekaaje!maombi ya pesa yangu yapo Ubungo Kinondoni mbona Rushwa zingine hazifai jmn??pesa yangu waikate imefika muda naihitaji masharti yanakuwa mengi.
Wadau naombeni msaada wa mawazo nichukue hatua gani?makoa makuu nimeenda nikaambiwa file liko ubungo nikifika ubungo longo longo kibaooooo!!!!