Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,735
- 2,265
Jana tumeshudia serikali ikisalimu amri kuwa itarudisha sheria gereji ili ifanyiwe marekebisho na kuafiki na kilio cha wachngiaji wamifuko ya hifadhi ya jamii juu ya fao la kujitoa. Nimeona tena nguvu ya umma ikishinda. Wachangiaji bila kujali itikadi, dini wadhifa na tofauti nyingine walijitokeza kupinga sheria hii na mwisho tumeshinda mpaka hatua hii na tunaamini hii ni mpaka watakaporidhia kufanya marekebisho tunayaoyataka.
Kumbe tukiamua tunaweza japo wako waliokosoa uelewa wetu wa dhana ya mifuko ya hifadhi ya jamii - tunawasamehe tunajua walikuwa wanaganga njaa kwa kutetea kila kilichopita kama sheria hata baada ya kuona hakifai. Tujifunze katika hili wenye sheria ni sisi na zipo kwa ajili yetu na siyo sisi kwa ajili ya sheria
Nawasilisha
Du huyu jamaa kumbe ana umaarufu wa kuwa king'ng' anizi kwa masuala bomuMkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.
Du huyu jamaa kumbe ana umaarufu wa kuwa king'ng' anizi kwa masuala bomuMkuu Lole Gwakisa afadhali umenisaidia kumjibu jamaa anapenda ligi ya ubishi nadhani ana PhD ya ubishi kutoka Morogoro Islamic University.
Mkuu linapokuja suala la takwimu, magazeti mengi ya Tz sio credible source. Bila shaka serikali ina kitengo cha takwimu ambacho ningetegemea kiwe ndo kigezo.Ukumbuke miaka ya katikati mwa 2000 tuliambiwa kutokana na UKIMWI life expectancy was drastically reduced to 42yrs! Sijui hapo napo ikiwekwa gazetini kukanukuu tutaamini lipi? Kimsingi hoja kubwa sio life expectancy hoja kuu ni logic ya kusema wafanyakazi wote wasichukue mafao yao hadi wafikie umri huo, bila kufahamu kuwa tunawafanyakazi wa mkataba miaka miwili au mitatu na mkataba ukiishi unaweza kukaa miaka sita kabla hujapata kazi kwingine. Wewe utakuwa unakula wapi? Basi sheria hiyo iweke provision ya mikopo (make kina Manji wamekopa ambao sio wachangiaji wala wamiliki wa mifuko hiyo...why wafanyakazi wasikopeshwe). Na mifuko imhakikishie mchangiaji kula, kulala kusomesha watoto na huduma nyingine mujimu kipindi chote ambacho hana kazi. Suala jingine kuhusu wafanyakazi mgodini....nadhani hukufahamu! Wanalipa! Kimsingi sheria inakutaka hata msaidizi wa kazi nyumbani (house boy/girl) walipiwe kodi na hata mfanyakazi wa shamba alipiwe kodi!
Oh no...Tatizo ya amma husomi vizuri hiyo habari ya amma huelewi Kiingereza ya amma hujaifata link iliyowekwa.
No research No right to Speak.
Oh no...
You again?
I picture you as that proverbial ostritch with its head buried deep in the sand ,oblivious of its stark naked behind waving unceremoniously in the prevailing winds.
You seem to be stuck in am impasse of your own making, un aware of developments around you.
I honestly wish you luck, but the world will definately march on foward prefferably without erratic characters as this one we are witnessing.
Sayonara, and again good luck!
Oh,you definately need all the luck you can muster.
inaelekea with your state of mind nothing matters, hapo ni pole tu.Have you come up with corrections on your intentionally misleading figures?
Tatizo ya amma husomi vizuri hiyo habari ya amma huelewi Kiingereza ya amma hujaifata link iliyowekwa.
No research No right to Speak.
Mkuu linapokuja suala la credible source....nilichosema ni kwamba Watu wa takwimu ndo wanaweza kutupatia inform kamili. Sijui kama umesoma HBS ya 2007. Hiyo inatupatia data tofauti, around 51..., na kimsingi that is the latest official data ambayo tunaweza kutumia kwa sasa, na zingine zote bado hazijathibitshwa. Muhimu ni kwamba tukubaliane kwa Tz inategemea data ameitoa nani na kwa malengo yapi, otherwise tunakuwa na takwimu nyingi tofauti kwa kitu kile kile....na ndicho nilisema. Hebu tizama hapa tena (na ukumbuke haya ni makadirio ya mwaka jana tuuuuu)
Life expectancy at birth: total population: 53.14 years
male: 51.62 years
female: 54.7 years (2011 est.)
Source: Tanzania Demographics Profile 2012
.
Sasa wewe unaona data zako ndio bora kuliko za UNDP? ustake ncheke!
Zomba nadhani wewe mgumu wa kuelewa! Nimeongelea credible source....na umeona jinsi gani zilivyotofauti hata zile nilizoweka,nikasema kwa walio wengi ambao hatutumii takwimu kisiasa (make za kisiasa zinapikwa sana hapa tanzania) huwa tunatumia zile tu ambazo tunazipata kutoka kitengo cha Takwimu. Finish! Sources nyingine tunazi-quote with a pinch of salt!
UNDP unaijuwa au unaisikia tu? Na umefata link niliyokuwekea? otherwise, sikuelewi.
Wewe ZOmba UNDP ipi? Soma hata taarifa za CIA na zile za EIU....on some areas huwa haziaminiki. Linapokuja suala la UNDP jiulize source yao ya data iko wapi? You mean as a country we do not collect and update our own information had uone kuwa zile za UNDP ni credible zaidi kuliko kitengo cha nchi chenye mamlaka ya kukusanya na kukokotoa takwimu? Give me a break! Sitaki kueleza nchi fulani ambako figures zilikuwa inflated simply because donors walidhani wanasababu ya kuelezea hela zimekwenda wapi za msaada pamoja na kuwa in reality there was nothing on the ground! There is a lot of politics and conflicts of interest when it comes to data!
Nikikuita punguani kwa ku quote CIA itakuwa nimekosea? wasome kwenye hizi link kama hujui kuwa hao ni waongo wa kutupwa:
https://www.google.co.tz/search?q=C...rg.mozilla:en-US:official&client=firefox-beta
Bila shaka unaweza kuwa na gunia la matusi. Huko siko! Nimekuambia kuhusu sources na malengo ya baadhi ya takwimu, whether ni CIA au nani lazima kujiridhisha kwanza, lakini nadhani unaweza kuwa mstaarabu kuepuka matusi!
Tusi liko wapi hapo? au hujui maana ya punguani nikupe darsa. Tusi liko wapi hapo na ushahidi wa kuwa CIA ni waongo nimekuwekea links.
Teh! idiot, mentally deficient person, feebleminded person, half-breed. Kati ya hayo wewe lipi si tusi kwako ukiitwa? I mean maana hizo nimezichukua kwenye kamusi/tafsiri kwenye kamusi ya kiswahili kuelekea ki-elizabeth! Sijui wewe kati ya hayo ulimaanisha lipi ambalo sio tusi! Kwa bahati mbaya tumetoka kwenye uzi na kuingia vitu vingine. Ninaishia hapa kuandika kuhusu hili, maana badala ya kuendeleza hoja tumekwenda ndivyo sivyo! MWISHO! Search results for punguani | fie.nipa Dictionaries&.
Mkuu mimi nikidhani una upeo wa kuona the fallacy in the Ammendment ya sheria yenyewe na isivyo watendea haki wafanya kazi.
Hata utoe elimu namna gani, the Ammendment does not make sense!
Unategemeaje nini ksma yafuatayo ni dhahiri:
-wafanyakazi wote walipwe after retirement at 55(orabove), wakati hata life expectancy haifiki huko
-it is NOT in thr best interest ya mfanyakazi, kwa vile kuweka hela NSSF ni sawa na kuweka uchagoni kwa
haina interest na inaliwa na inflation
-ni narrow minded ness kutegemea kuwa watu wote(wafanyakazi) lengo lao ni kuishi(after55) kwa kula tu
hiyo hela na si kuinvest katika miradi midogo midogo wanayoiweza, na wanaweza kufanya hivyo wakati wana
nguvu tu na wakiwa na umri mdogo na wanapoihitaji hela hiyo.
Tukubali kuwa SSRA inajaribu kutatua mgogoro unaoikumba NSSF na mashirika mengine ya aina hiyo kwa an unexpected(?) low return on investment.
Nawekea question mark hiyo unexpected low return on investment kwa vile mwendesha mashirika hayo-Serikali-imewekeza katika miradi isiyorudisha mtaji leo wala kesho.
Sehemu nyingine uwekezaji huo ni wa kisisa zaidi kuliko matakwa ya kibiashara. Hapa tuifikirie Machinga Complex, sijui kama mradi huo haukufanyiwa feasibility study, au NSSF haina wachumi?
Miradi mingine kama Dodoma University, ni mizuri lakini you can hardly expect a return on investment inones life time.
All this investment, risk anabeba mfanyakazi, its unfair and unproffessional.
Katika hili elimu inakosekana upande wa Serikali zaidi kuliko upande wowote.