Mtoa mada anatafuta majibu kama haya yafuatayo kutoka makao makuu yake. "Mchakato unaendelea, zabuni zitatangazwa hivi karibuni, upembuzi yakinifu utafanyika baada ya hapo. Kisha mtaalamu mwelekezi atatafutwa, zabuni zitafunguliwa hivi karibuni, kutakuwa na "short list", tutakaribisha wabia wa maendeleo watuunge mkono, tuombe "no objection Benki ya Dunia etc. Zoezi zima linaweza kuchukuwa karne moja mpaka daraja likamilike! Nakumbuka daraja la Mkapa na hivi sasa Malagarasi!