kama kichwa kinavojieleza nina ndugu ambae ame aply kozi ya MASTERS IN NATURAL RESOURCES MANAGEMENT NRM
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri pia kwa yeyote ajuaye kuhusu hiyo kozi tunaweza kuwasiliana asanteni
Kwayeyote mwenye kufaham ni taasisi zipi ambazo mtu akisoma hiyo koz anaweza enda kufanya kazi kwa hapa Tanzania
Nakaribisha msaada wa mawazo na ushauri pia kwa yeyote ajuaye kuhusu hiyo kozi tunaweza kuwasiliana asanteni