Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 77,964
- 165,387
- Thread starter
- #41
Kazi kwelikweli
Kaka kama unanipinga Basi pinga kwa point lakini hiyo ya kusema acha uongo, ni kama vile unajinasibisha kuwa wewe ndio unasema ukweli, cha ajabu wewe ulikuwa mtu wa kusoma kama wengine tunavyosoma
cha muhimu kwenye ubishi kama huu inakupasa uwe free ili upate ukweli, Ubishi Wa BIG na Tupac sio wa leo na wala sio wa Tanzania tu, bali ni Dunia nzima na hata Marekani kwenyewe, (Sawa na ubishi wa Bob Marley na Peter Tosh) na hata waliokuwa Karibu na hao watu still wanatoa hoja zenye kukinzana.
Kaka BIG alikuwa ni mbaya wa Lugha
"At the Queen of All Saints Middle School, Wallace excelled in class, winning several awards as an English student" ingia Hapa The Notorious B.I.G. - Wikipedia, the free encyclopedia
Mkuu kuna Facts hazipingiki kwenye mtanange huu, Mbele Game ilivyokuwa inaenda Tupac alikuwa anamfunika mbaya BIG
CC: Bujibuji, SHERRIF ARPAIO