habarini wakubwa kwa wadogo, nilikua naomba mwenye softcopy za notes na past papers za DEVELOPMENT STUDIES 1 na LINEAR ALGEBRA 1, m nipo 1st year apo udsm, msaada wakuu, ahsanteni.
ahsante kwa ushauri, registration tayari kila kitu, ila kuna masomo ambayo ni common kwa kila course na haiitaji ad ufundishwe km development studies na huwa haibadiliki kivile.
dada khantwe nipo coict bhana........ila unavoniita mtoto duh mana umri umeenda na inawezekana 2lisoma wote kipindi. ila ahsante kwa mchango wako dada nakutania,
habarini wakubwa kwa wadogo, nilikua naomba mwenye softcopy za notes na past papers za DEVELOPMENT STUDIES 1 na LINEAR ALGEBRA 1, m nipo 1st year apo udsm, msaada wakuu, ahsanteni.
ahsante kwa ushauri, registration tayari kila kitu, ila kuna masomo ambayo ni common kwa kila course na haiitaji ad ufundishwe km development studies na huwa haibadiliki kivile.
Nina uhakika nimekufundisha wewe usijitutumue