Notes za UDSM

Notes za UDSM

Kivule

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2012
Posts
639
Reaction score
662
habarini wakubwa kwa wadogo, nilikua naomba mwenye softcopy za notes na past papers za DEVELOPMENT STUDIES 1 na LINEAR ALGEBRA 1, m nipo 1st year apo udsm, msaada wakuu, ahsanteni.
 
ahsante kwa ushauri, registration tayari kila kitu, ila kuna masomo ambayo ni common kwa kila course na haiitaji ad ufundishwe km development studies na huwa haibadiliki kivile.
 
naelewa ndo mana nkaomba notes za module ambazo ni common kwa karibia kozi zote na SI CORE MODULE.
 
Madesa yapo kibao nenda Pale Yombo Hall 6 stationery kuna utapata


pia nenda mabibo kuna stationery kibao huwa wanabaki na copy za past paper n.k
 
ahsante kwa ushauri, registration tayari kila kitu, ila kuna masomo ambayo ni common kwa kila course na haiitaji ad ufundishwe km development studies na huwa haibadiliki kivile.

Amekwambia nani kwamba huwa haibadiliki
 
HAHAHAHA kubadilika inabadilika lakini mara chache sana kwa masomo ya common km D.S......naelewa kuliko unavodhani ndugu yangu.
 
ahsante sana ndugu ubarikiwe sana, niliomba softcopy ili nipunguze gharama ya copy ila AHSANTE SANA KWA USHAURI.
 
Mwanafuni mzuri ni yule anayejiandaa kabla ya darasa. Msaidieni tu, hata kama ni kwa kumpa majina ya vitabu, chapters za kusoma,chapters za kujiunga na poetry slam clubs za ku frequent.
 
EBHANA kaka dah una roho nzuri sana ubarikiwe sana.
 
dada khantwe nipo coict bhana........ila unavoniita mtoto duh mana umri umeenda na inawezekana 2lisoma wote kipindi. ila ahsante kwa mchango wako dada nakutania,
 
ahsante sana kaka ubarikiwe, ngoja nikucheki p.m.
 
dada khantwe nipo coict bhana........ila unavoniita mtoto duh mana umri umeenda na inawezekana 2lisoma wote kipindi. ila ahsante kwa mchango wako dada nakutania,

Nina uhakika nimekufundisha wewe usijitutumue
 
Umemaliza form six mwaka gani?????? japo unaweza kunieleza ata kwa p.m. ni km utani dada yangu ila na uhakika naweza nkawa nakujua.
 
habarini wakubwa kwa wadogo, nilikua naomba mwenye softcopy za notes na past papers za DEVELOPMENT STUDIES 1 na LINEAR ALGEBRA 1, m nipo 1st year apo udsm, msaada wakuu, ahsanteni.

Mmmh niliwahi omba kitu kama hiki,badaye baada ya miaka kupita nikajikuta kumbe nilikuwa mjinga sana.Hudhuria lecture,take summary then nenda library kaandae Notes Mwenyewe.
 
ahsante kwa ushauri, registration tayari kila kitu, ila kuna masomo ambayo ni common kwa kila course na haiitaji ad ufundishwe km development studies na huwa haibadiliki kivile.

Kuna jamaa alidisco chuo sababu ya kusema siyo lazima ufundishwe.Tena alidisco first year na ni ds ndo ilimtoa chuo.Alikomaa kusoma masomo yale ya specialization akaipotezea DS kama ilivo kwa Advance.Akapigwa supp akapuuzia kwenda kusapua kwa kujitetea kuwa alikuwa hana nauli ndo ukawa mwisho wa maisha Chuo,tena hapo hapo UD.
 
Back
Top Bottom