Unaweza kupata mkopo ukasoma ila baadae ukasota mtaani kwa kukosa ajira na huku unadaiwa huo mkopo kwa vitisho! Vile vile unaweza kukosa mkopo na usisome but ukaja kuwa billionea kwa njia mpya utakayoifata tofauti na elimu .. Kwa hyo Mshukuru MUNGU kwa kila jambo, MUNGU anatupenda, hapendi kutuona tunalialia anapenda kutuona tukifurahi, hii changamoto cha msingi kuwa mpole Fanya mishe zingine