Nooma...Nyoka hawa wana miaka 7 hapa

Nooma...Nyoka hawa wana miaka 7 hapa

Kiasili nyoka si mnyama wa kufugwa na hata katika maandiko tumeambiwa cha kumfanya tukikutana naye naye akikutana nasi. ...sasa unapokutana na mtu kafanya kolabo na huyo mdudu kuna maswali mengi kuliko majibu
Binadamu siku zote huogopa asichokijua au kuelewa ila kwa dunia ya sasa elimu imetufungua macho na akili sidhani Kama kuna mnyama ambaye hafugiki
 
Binadamu siku zote huogopa asichokijua au kuelewa ila kwa dunia ya sasa elimu imetufungua macho na akili sidhani Kama kuna mnyama ambaye hafugiki
Ni kweli lakini mimi nimesimama kwenye mtazamo wa kiimani zaidi
1454392473770.jpg
 
Kiasili nyoka si mnyama wa kufugwa na hata katika maandiko tumeambiwa cha kumfanya tukikutana naye naye akikutana nasi. ...sasa unapokutana na mtu kafanya kolabo na huyo mdudu kuna maswali mengi kuliko majibu
Nyoka hana ubaya wowote ule,labda mfugaji mwenyewe huyo ni kiumbe kama viumbe wengine katika kingdom ya animalia.
 
Nyoka hana ubaya wowote ule,labda mfugaji mwenyewe huyo ni kiumbe kama viumbe wengine katika kingdom ya animalia.
Naomba tukubaliane kitu kimoja tuyakodi hayo majoka kisha tutafute chumba ulale nayo usiku mmoja tu tena yakiwa kwenye maboksi yake...nitalipa mimi gharama
 
Fuga na kunguru
Wageuze njiwa.
Fuga na fis wageuze mbuzi.
Sasa ndo unaandika Nn?
Binadamu hakuna mnyama Anashindwa kufuga na kwa malengo tofauti Kama Chakula ,companion, entertainment ,research nk .hata hao Fisi na kunguru wakeshafugua na wanaendelea kufungua kwa sababu moja au nyingine
 
Back
Top Bottom