Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 402
- 166
Hivi inawezekana ukabadilishs battery pindi battery likianza kuwa dhaifu au kufa kabsa.?
Utaratibu wakubadilisha battery ni mwepesi au mpaka uende center za kampuni zao za simu.?
Kati ya Non Removable Battery na Removable Battery unashauri mtu anunue simu IPI.?
Utaratibu wakubadilisha battery ni mwepesi au mpaka uende center za kampuni zao za simu.?
Kati ya Non Removable Battery na Removable Battery unashauri mtu anunue simu IPI.?