SSH2025_2030
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 9,661
- 9,753
Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Unamnyang'anyaje?Anyangwanye ubalozi na uraiaapema asubuhi
He is part of the corcusAnyangwanye ubalozi na uraiaapema asubuhi
Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Kuichafua kwa Nani? Who cares? Kwendraaa..hiyo itatoa nafasi kwa Polepole kupewa hadhi ya ukimbizi na itazidi kuichafua nchi yetu.
..njia nzuri ya kukabiliana na Polepole ni kujibu hoja zake na kuzifanyia kazi.
Hayo ndio ma ccm mengi huku mtandaoni hayana akili na wala haielewi inakurupuka kupost vitu hata hawavielewi.Apewe non Granta na nchi yake tangu lini hii😃😃😃
ananyang'anywa hadhi ya ubalozi kwani kajiuzulu kile cheo lakini kiutaratibu ile hadhi ya ubalozi anayoUbalozi anyang'wanywe vipi wakati ameshajiudhuru? Hana ubalozi sasa.
Sheria hairuhusu kumnyang'anya uraia Mtanzania labda awe amepata uraia wa nchi nyingine au alipata uraia (naturalization) kwa njia ya udanganyifuAnyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Huwezi kumnyang'anya mtu kitu asichokuwanacho, ubalozi alishautema. Kwenye uraia mvumilieni tu maana kuteka na kupoteza ni kumnyang'anya uraia kulikwovuka viwango.Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Acha roho mbaya,hiyo ndiyo imetufikisha hapa na bado hujifunzi uanze kunyang'anywa wewe uraia halafu afuatie yeye.Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Wewe kilaza wa mbogamboga ,ng'ombe ya Mama isiyojielewa sasa anyang'anywe vipi ubalozi ambao ameshautema.Anyangwanye ubalozi na uraia mapema asubuhi. Asizidi kuvuruga Amani yetu
Nafikiri alimaanisha "persona non-grata""Non-granta" 😂😂😂😂😂