Pius Kafefa
Member
- Aug 9, 2011
- 88
- 20
Kuna mjadala mkali sana kipindi hiki unaohusu hukumu ya kesi ya TANESCO vs Dowans. Hebu nisaidieni hesabu za mkataba zilikuwaje? Ni kweli kuna hasara tuliyopata kwa kuvunja mkataba huo au kuna kitu tumeokoa? Nomba hesabu za siku moja, mwezi mmoja, na za kipindi chote cha mkataba uliokuwa umesainiwa na baadaye kuvunjwa.
"... wanafiki wametufikisha hapa niwaombe UVCCM na vijana wa vyama vyote tuungane hawa wawajibike", KAIMU Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Benno Malisa.
"... wanafiki wametufikisha hapa niwaombe UVCCM na vijana wa vyama vyote tuungane hawa wawajibike", KAIMU Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Benno Malisa.