Masanilo Platinum Member Oct 2, 2007 22,286 4,493 Jul 3, 2010 #2 Wachina kiboko hata U-houseboy bongo hawana hiyana!
Ngambo Ngali JF-Expert Member Apr 17, 2009 3,517 1,360 Jul 4, 2010 #3 Masanilo said: Wachina kiboko hata U-houseboy bongo hawana hiyana! Click to expand... Hiyo tisa, mbeleko kaipatia kweli sijui kama bado kuna wataalamu wa kufunga mbeleko hivi sasa?
Masanilo said: Wachina kiboko hata U-houseboy bongo hawana hiyana! Click to expand... Hiyo tisa, mbeleko kaipatia kweli sijui kama bado kuna wataalamu wa kufunga mbeleko hivi sasa?
Junius JF-Expert Member Mar 11, 2009 3,181 139 Jul 4, 2010 #4 Hili tangazo la UNO safi kumbe nshajuwa wapi nimekosea mpaka sijapata maisha bora.
TIMING JF-Expert Member Apr 12, 2008 24,910 11,307 Jul 4, 2010 #6 mh, huyo mtoto aliyebebwa ana miguu kweli?
Bourgeoisie JF-Expert Member Mar 26, 2009 656 162 Jul 4, 2010 #7 De Novo said: mh, huyo mtoto aliyebebwa ana miguu kweli? Click to expand... Ipo ila naona imekingwa na mkono. Hao ndo wachina wajenzi barabara na madaraja wakifanya mabo yao.....TWO In ONE- (wanakuja nchini kwa viza ya kujenga barabara/madaraja huku wakiwa wana-fertilize)
De Novo said: mh, huyo mtoto aliyebebwa ana miguu kweli? Click to expand... Ipo ila naona imekingwa na mkono. Hao ndo wachina wajenzi barabara na madaraja wakifanya mabo yao.....TWO In ONE- (wanakuja nchini kwa viza ya kujenga barabara/madaraja huku wakiwa wana-fertilize)
Anyisile Obheli JF-Expert Member Dec 13, 2009 3,398 319 Jul 4, 2010 #8 Junius said: Hili tangazo la UNO safi kumbe nshajuwa wapi nimekosea mpaka sijapata maisha bora. Click to expand... mkuu yaani hili tangazo limeniacha mdomo wazi kha?
Junius said: Hili tangazo la UNO safi kumbe nshajuwa wapi nimekosea mpaka sijapata maisha bora. Click to expand... mkuu yaani hili tangazo limeniacha mdomo wazi kha?
Wun JF-Expert Member Jun 16, 2008 358 72 Jul 4, 2010 #9 De Novo said: mh, huyo mtoto aliyebebwa ana miguu kweli? Click to expand... ameenda kuiuza china
Lukolo JF-Expert Member Dec 2, 2009 5,143 3,196 Jul 4, 2010 #10 Hilo Tangazo wapinzani wameliona?? Linatosha kabisa kutumika kama kithibitisho kupinga matokeo ya uchaguzi iwapo CCM itashinda katika jimbo hilo.
Hilo Tangazo wapinzani wameliona?? Linatosha kabisa kutumika kama kithibitisho kupinga matokeo ya uchaguzi iwapo CCM itashinda katika jimbo hilo.