Noma ya nini!!!

Hili tangazo la UNO safi kumbe nshajuwa wapi nimekosea mpaka sijapata maisha bora.
 
mh, huyo mtoto aliyebebwa ana miguu kweli?
Ipo ila naona imekingwa na mkono.
Hao ndo wachina wajenzi barabara na madaraja wakifanya mabo yao.....TWO In ONE- (wanakuja nchini kwa viza ya kujenga barabara/madaraja huku wakiwa wana-fertilize)
 
Hilo Tangazo wapinzani wameliona?? Linatosha kabisa kutumika kama kithibitisho kupinga matokeo ya uchaguzi iwapo CCM itashinda katika jimbo hilo.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…