A andy mchokozi Member Joined Jan 25, 2012 Posts 42 Reaction score 5 Mar 27, 2012 #1 unapata na chaji yake+memory card 1gb ina uwezo wa kuingia neti, bado mpyaa picha hiyo hapo kwenye attachment.. bei ni laki na 90 tu..
unapata na chaji yake+memory card 1gb ina uwezo wa kuingia neti, bado mpyaa picha hiyo hapo kwenye attachment.. bei ni laki na 90 tu..
A andy mchokozi Member Joined Jan 25, 2012 Posts 42 Reaction score 5 Mar 27, 2012 Thread starter #2 mawasiliano, 0713133633
stephot JF-Expert Member Joined Mar 1, 2012 Posts 17,859 Reaction score 27,464 Mar 28, 2012 #3 Weka hiyo picha basi kaka ili kama tutaipenda tufanye biashara.
A andy mchokozi Member Joined Jan 25, 2012 Posts 42 Reaction score 5 Mar 28, 2012 Thread starter #4 stephot said: Weka hiyo picha basi kaka ili kama tutaipenda tufanye biashara. Click to expand... kaka najaribu ku attach kupitia cmu yangu inakataa, lakini cmu yenyewe mpya ina mwezi tu ninashida ndio mana naiuza kaka, we I google utaijua jinsi ilivyo..
stephot said: Weka hiyo picha basi kaka ili kama tutaipenda tufanye biashara. Click to expand... kaka najaribu ku attach kupitia cmu yangu inakataa, lakini cmu yenyewe mpya ina mwezi tu ninashida ndio mana naiuza kaka, we I google utaijua jinsi ilivyo..
D dgratius JF-Expert Member Joined Mar 10, 2012 Posts 218 Reaction score 11 Mar 29, 2012 #5 Chukua laki!! Kama vp ini pm
elmagnifico JF-Expert Member Joined Jul 7, 2011 Posts 8,260 Reaction score 9,747 Mar 29, 2012 #6 kamata laki na 20 mkuu coz shop mpya lak na 60.