nokia wanatengeneza simu za android

nokia wanatengeneza simu za android

sema tu ukweli nokia ndio kaieka windows phone hapa ilipo. mi ni fan mkubwa wa windows phone ila nimeipenda sababu ya nokia.

asilimia 85 ya wp zote ni nokia, kuna vitu hivi nokia kavifanya kwenye windows phone.

1. app 600 store ni za nokia
2. ecosystem ya ramani ni ya nokia (hadi bing map)
3. nokia ametoa sdk zake mwenyewe ili madeveloper watoe apps mfano sdk ya camera
4. nokia ametoa app ya kuhack registry kuinfluence watu kuweza kuihack wp ili kupata vitu kama custom rom na kuside load apps
5. nokia ameruhusu research zake ziingie kwenye windows phone vitu kama glance screen, kublock calls na sms

vipo vitu vingi kaka vyengine sikumbuki kwa kichwa.

sasa imagine microsoft anachukua hardware part ya nokia, then cto office inabaki pale pale nokia.

hii cto office ndio roho ya nokia innovation zote zinatoka hapa alionunua microsoft ni watekelezaji wa vitu vinavyotoka hapa.

windows phone bila nokia itakufa unless microsoft aihamishe awape jamaa wa windows kazi ya kuisuka upya windows phone

Kaka mimi sikukubishii kabisa ila kitu kikubwa kabisa katika kila operating yeyoye ni "Kernel" Hii ndio roho ya operating system. Vitu unavyovisema vyote vinarun juu ya Kernel. kernel ya Lumia ni Windows NT ni kama ya computer windows

So kitu siyo SDK(Standar Development Kit) Hiyo iko juu ya Kernel.
Kumbuka Microsoft tayari wako na .NET framwork Strong Programing Language
Vile vile wapo na DirectX kwaajiri ya 3D(Game Programming ) Bado wako na Xbox kaka
Microsoft wamefanya kikubwa sana kumkomboa Nokia.
 
Annael sio maneno yangu hayo, soko la dunia limeongea, Google wali announce 1billion activation ya android devices, vifaa zaidi ya billioni 1 vinatumia android, au unataka tu ubishi

Soko limeegemea kwa Android sawa lakini ukweli Windows Phone 8 is better than Android in all important aspects.
Sema kwakuwa Adroid alianza ndio maana yoko mbele kwa baskeli ya miti.
 
Soko limeegemea kwa Android sawa lakini ukweli Windows Phone 8 is better than Android in all important aspects.
Sema kwakuwa Adroid alianza ndio maana yoko mbele kwa baskeli ya miti.

Pia Android ni bure kwa manufacturers, hii ndo chanzo kikuu cha kuwa kwenye simu nyingi. Pia simu nyingi sana ni hizi za low end.
 
Pia Android ni bure kwa manufacturers, hii ndo chanzo kikuu cha kuwa kwenye simu nyingi. Pia simu nyingi sana ni hizi za low end.
Halafu watu wanapenda sana kudanganywa, Android haipo stable na ni open source mda wowote tu project inaweza ikakwama au ikaenda mrama maana hakuna kiongozi ni fungulia dog.
Windows Phone 8 is stable
You can run update smoothly na ku-uprage
 
Hakuna possibility kama hiyo, Microsoft sio wajinga.

Pili Android haina performance nzuri hata kwenye high end hardware kama G Nexus ina matatizo kibao ya ku-lag tofauti na WP8 ambayo ni smooth hata kwenye 520. Nokia wakiiweka Android kwenye low end hardware watajiharibia jina tu.

kaka nokia wakitumia android wataichangua kiasi ambacho hutaweza kuijua.

kulikua na project nyingi za android ila hizi mbili maarufu
AOL- kirefu asha on linux hii ilikua ni kuiunganisha asha na na android iwe inarun java apps na apk za android

MVIEW- au mountain view hii ni low end zitumie android.

soma vizuri hii thread ya theverge
Nuclear options: Microsoft was testing Surface Phone while Nokia experimented with Android | The Verge

nokia wapo aware pia kuhusu lag na wao wangejua wafanye nini.

anyway ngoja tusubiri hio november tuone deal itafanikiwa au la then tutajua future ya kila kampuni
 
kaka microsoft kanunua part ya nokia na si kampuni ya nokia. inayoondoka ni part inayotengeneza hardware part nyengine kama nsn, cto office na masuala ya ramani ipo pale pale

Hata kama hizo fununu ni za kweli, it is too late. Nokia ilichemsha tokea mwanzo kabisa.

Their hardware was far nicer than Samsung's, but people were put off by their operating system with no applications.

Wengi wangenunua Lumia kama ingekuwa na Android. Lakini Nokia ilishindwa kuona kuwa tayari watu walikuwa wanajua jina la Nokia and trusted it and have released descent phones in the past

Najua baadhi ya Watanzania bado wako attached na Nokia, lakini worldwide haina market hata kama itahamia Android.

Even Blackberry iliyokuja kwa kasi imekuwa simu ya watoto siku hizi, except may be in Tanzania.

Juzi nimepitia kwenye baadhi stores za simu watu wako bize wakiweka orders for the next IPhone huku wengine wakichezea the Samsung S 4. Hakuna anayehaingaika na simu za Nokia tena.

Hata wakiahamia Android itawabidi waim-prove sana kwenye simu zao kimuenekano.
 
Halafu watu wanapenda sana kudanganywa, Android haipo stable na ni open source mda wowote tu project inaweza ikakwama au ikaenda mrama maana hakuna kiongozi ni fungulia dog.
Windows Phone 8 is stable
You can run update smoothly na ku-uprage

Katika dunia hii ya utandawazi consumers hawataki kufungwa fungwa ati.

Android ilikuwa popular kwa sababu ya Iphone kuzuia third party applications.
 
Soko limeegemea kwa Android sawa lakini ukweli Windows Phone 8 is better than Android in all important aspects. Sema kwakuwa Adroid alianza ndio maana yoko mbele kwa baskeli ya miti.

That argument conflicts itself. Kama Windows Phone 8 ni better zaidi ya Android in all important aspects, basis wanaonunua simu za Androids watakuwa vichaa.

Pia wapo wanaosema kuwa Myspace is better than Facebook in all important aspects, lakini Facebook is the most popular social network in the world.

Let the market do the talking.
 
jamani kwani haiwezekanika wakatengeneza simu ambayo unachagua OS mwenyewe either Android or window 8?
 
Hata kama hizo fununu ni za kweli, it is too late. Nokia ilichemsha tokea mwanzo kabisa.

Their hardware was far nicer than Samsung's, but people were put off by their operating system with no applications.

Wengi wangenunua Lumia kama ingekuwa na Android. Lakini Nokia ilishindwa kuona kuwa tayari watu walikuwa wanajua jina la Nokia and trusted it and have released descent phones in the past

Najua baadhi ya Watanzania bado wako attached na Nokia, lakini worldwide haina market hata kama itahamia Android.

Even Blackberry iliyokuja kwa kasi imekuwa simu ya watoto siku hizi, except may be in Tanzania.

Juzi nimepitia kwenye baadhi stores za simu watu wako bize wakiweka orders for the next IPhone huku wengine wakichezea the Samsung S 4. Hakuna anayehaingaika na simu za Nokia tena.

Hata wakiahamia Android itawabidi waim-prove sana kwenye simu zao kimuenekano.

kaka bado hope ipo, so far lumia 520 alone ishauza 6+m phones (estimation zangu)

siku hizi kila mtu anajua kuangalia ubora wa simu watu wanaenda site za tech wanauliza, watu wanaangalia video review na pia kuna word of mouth advertisement ya kutosha.

kwa africa watu wanapenda simu ambazo ni imara angalia case za kuvunjika kioo za android zilivyo nyingi nokia anaweza tupa hili

na bila kusahau bei. lumia 520 sasa hv inafika hadi 240,000 ni cheaper kuliko techno n7 wakati ina specification nzuri kuliko n7. imagine unapewa simu kama nokia ambayo ni rahisi kuliko mchina na ina feature nyingi zaidi.
 
Android is New windows ya kwenye Simu

Hii imewachanganya hata Iphone.

Personally, kuna watu kama wanne hivi walikuwa wananitambia na Iphone zao, lakini wote wamehamia Android.

Some people worry about privacy in Android but Google, FB, MS, Apple all take information.

Predictably, NOKIA has become a mere tiddler in the smartphone ocean.
 
But not worldwide.

nitajie simu ya android yenye krait s4 ambayo ni chini ya dola 200(africa), sehemu kama marekani inauzwa dola hadi 55 (kwa promotion) na dola 99(bila contract) sehemu kama india permanent ni chini ya dola 140.

simu ambayo kwa ukaribu inafatia ni sony xperia m ambayo bei yake ni dola 250.

tena usisahau kupunguza na bei maana wp unalipia wakati android ni bure
 
kaka bado hope ipo, so far lumia 520 alone ishauza 6+m phones (estimation zangu)

siku hizi kila mtu anajua kuangalia ubora wa simu watu wanaenda site za tech wanauliza, watu wanaangalia video review na pia kuna word of mouth advertisement ya kutosha.

kwa africa watu wanapenda simu ambazo ni imara angalia case za kuvunjika kioo za android zilivyo nyingi nokia anaweza tupa hili

na bila kusahau bei. lumia 520 sasa hv inafika hadi 240,000 ni cheaper kuliko techno n7 wakati ina specification nzuri kuliko n7. imagine unapewa simu kama nokia ambayo ni rahisi kuliko mchina na ina feature nyingi zaidi.

I like more competitors on the market as this works in favour of consumers. Lakini Nokia let down its loyal and trusted customers.

Honestly, ningependa kuiona Nokia ikirudi pale ilipokuwa kwa sababu walikuwa wanatengeneza simu imara.

Lakini OS wanayotumia sana ni sawa na Astom Martin iliyotengenezwa na DB9 with the engine of a small motor vehicle in which golfers can ride between shots.

Unajua ni kwa nini Nokia walikataa ku-replace Symbian with Nokia? Sababu ilikuwa ni nini hasa?

Hiyo sababu sababu siyo relevant tena sasa kiasi cha kutaka kuhamia Android?
 
I like more competitors on the market as this works in favour of consumers. Lakini Nokia let down its loyal and trusted customers.

Honestly, ningependa kuiona Nokia ikirudi pale ilipokuwa kwa sababu walikuwa wanatengeneza simu imara.

Lakini OS wanayotumia sana ni sawa na Astom Martin iliyotengenezwa na DB9 with the engine of a small motor vehicle in which golfers can ride between shots.

Unajua ni kwa nini Nokia walikataa ku-replace Symbian with Nokia? Sababu ilikuwa ni nini hasa?

Hiyo sababu sababu siyo relevant tena sasa kiasi cha kutaka kuhamia Android?
nafkiri ulimaanisha kwenda android hapo red.

sababu za nokia kutoenda android zilkuwa mbili kubwa.
1. ovi store
2. here maps

zamani ilikua lazima utumie google maps, play, na apps nyengine za google nokia waliomba wakakataliwa ila sasa vitu hivyo vinakubaliwa na amazon ni mfano wake wana store yao na apps zao hawatumii vya google.

ikumbukwe navteq(here map) nokia aliinunua 8usd billion ina thamani kubwa kuliko nokia hardware part ambayo imeuzwa 5bn. hata ingekua wewe ungeipendelea investment ya 8bn kuliko ya 5bn
 
nitajie simu ya android yenye krait s4 ambayo ni chini ya dola 200(africa), sehemu kama marekani inauzwa dola hadi 55 (kwa promotion) na dola 99(bila contract) sehemu kama india permanent ni chini ya dola 140.

simu ambayo kwa ukaribu inafatia ni sony xperia m ambayo bei yake ni dola 250.

tena usisahau kupunguza na bei maana wp unalipia wakati android ni bure

Statistically, Afrika ipo namba ngapi kwenye soko la simu duniani kiasi cha ku-influence manufacturer wa simu adedicate simu zake kwenye soka la Afrika?

Kwa nini Samsung ni number one handset duniani? Tena Samsung imeipita Nokia mwaka jana tuu with 23.4% of mobile phone market na kupanua soko lake Smartphone dhidi ya Apple kwa 30.3%.

Success ya Samsung ina offer what they really want: choice. Kwa mfano angalia aina ya S4 zilizoko sokoni. Zamani Nokia ilikuwa simu za aina mbalimbali, but in don't think they do the same.

Hata Apple hawawapi customers choice and that why many of its customers have moved to Samsung.

Nokia ilikuwa na nafasi ya kuwa simu za Windows as well as Android kama walivyofanya HTC lakini wakaamua kustick na windows thereby limiting consumers' choice.
 
Statistically, Afrika ipo namba ngapi kwenye soko la simu duniani kiasi cha ku-influence manufacturer wa simu adedicate simu zake kwenye soka la Afrika?

Kwa nini Samsung ni number one handset duniani? Tena Samsung imeipita Nokia mwaka jana tuu with 23.4% of mobile phone market na kupanua soko lake Smartphone dhidi ya Apple kwa 30.3%.

Success ya Samsung ina offer what they really want: choice. Kwa mfano angalia aina ya S4 zilizoko sokoni. Zamani Nokia ilikuwa simu za aina mbalimbali, but in don't think they do the same.

Hata Apple hawawapi customers choice and that why many of its customers have moved to Samsung.

Nokia ilikuwa na nafasi ya kuwa simu za Windows as well as Android kama walivyofanya HTC lakini wakaamua kustick na windows thereby limiting consumers' choice.

hahaha naona umekosa jibu.

inshort hakuna simu kama lumia 520 even za kutoka china inayopambana na hii.

kama upo active kwenye hili game nokia wanauza sana simu za bei rahisi tofauti na samsung anaeuza unit mln 20 za s4 tu.

sisemi kwamba samsung hauzi za bei rahisi, ila nnachomaanisha nokia anauza zaidi kuliko samsung.

na kama umefatilia kwa makini soko la smartphone ni kwamba simu za bei ghali zinashuka na wateja siku hizi wanaprefer simu za bei rahisi (average kama dola 300)

hili ndio eneo la nokia anapojidai sasa soon mambo ya s4 na s5 yatakua ni hadithi na watu watahamia kwenye simu design ya lumia 520.

what goes around come around
 
nafkiri ulimaanisha kwenda android hapo red.

sababu za nokia kutoenda android zilkuwa mbili kubwa.
1. ovi store
2. here maps

zamani ilikua lazima utumie google maps, play, na apps nyengine za google nokia waliomba wakakataliwa ila sasa vitu hivyo vinakubaliwa na amazon ni mfano wake wana store yao na apps zao hawatumii vya google.

ikumbukwe navteq(here map) nokia aliinunua 8usd billion ina thamani kubwa kuliko nokia hardware part ambayo imeuzwa 5bn. hata ingekua wewe ungeipendelea investment ya 8bn kuliko ya 5bn

Yes, nilimaanisha hapo kwenye red. Swali kubwa ambalo consumers wamekuwa wakijiuliza ni kwa nini Nokia walipoamua kuiua Symbian mwaka 2010 hawakuhamia Android?

Inajulikana kuwa Nokia walijadiliana na Google kuhusiana na hilo, lakini baadae Nokia hawakufuatilia tena. Baada ya hapo Nokia wakatangaza kuhamia Windows mwaka 2011 na ndipo Vic wa Google alipotweet "two turkeys do not make an eagle"- https://twitter.com/vicgundotra/status/35182523650801664

Hata hivyo, Android ilikuwa na tatizo gani mwaka 2010 kiasi cha kuifanya Nokia ichague Windows? Hayo matatizo yalikuwa na uhusiano na ovi store na here maps as you have just mentioned?

Nokia Chief Executive, Elop, ameulizwa mwaka huu kwenye round table na waandishi wa habari kama Nokia ina-regret kwa kutochagua Android mwaka 2010. Amesema it was a strategic decision. Kwamba Samsung ingekuwa kwenye nafasi nzuri zaidi kudominate the market kwa sababu ya capability yake ya kutengeneza simu na historia yake kwenye industry ya simu.

For others, it was a shame to hear the Nokia big boss saying that. Hata hivyo, hii imekuwa kweli maana figure zinaonyesha kuwa mauzo ya HTC yanaendelea kushuka pamoja na HTC One kusifiwa sana.

Kama sababu ilikuwa hiyo iliyotolewa na big boss wa Nokia, kweli Nokia wanaweza sasa kuwapiga bao Samsung kama wakihamia Android sasa? If so, how? Nini kimebadilika?
 
sisemi kwamba samsung hauzi za bei rahisi, ila nnachomaanisha nokia anauza zaidi kuliko samsung.

Upadate statistics zako. Samsung ndiyo inayoongoza sasa, ikufuatiwa na Nokia.



Vendor
Samsung384.622.0%315.117.7% Samsung406.023.7%330.919.3%
Nokia333.919.1%422.523.8% Nokia335.619.6%416.924.3%
Apple130.17.5%89.35.0 Apple135.97.8%93.15.4%
ZTE67.33.9%56.93.2% ZTE65.03.7%69.54.1%
LG583.3%86.44.9% LG55.93.2%88.15.1%
Huawei47.32.7%40.72.3%
TCL37.22.1%341.9%
BlackBerry (RIM)34.22%51.52.9%
Motorola33.91.9%40.32.3%
HTC32.11.8%43.32.4%
Others587.433.6%595.933.6% Others737.542.6%716.841.8%
Total1,746.2100.0%1,775.7100% Total1735.9100.0%1715.3100.0%

[TD="colspan: 5"] Top ten mobile phone manufacturers in 2012 (millions of units)according to Gartner [/TD]

[TD="colspan: 5"] Top five mobile phone vendors, shipments, and market share in 2012 (millions of units), according to IDC [/TD]

[TD="width: 80"] 2012
sales
[/TD]
[TD="width: 80"] 2012
market share
[/TD]
[TD="width: 80"] 2011
sales
[/TD]
[TD="width: 80"] 2011
market share
[/TD]

[TD="width: 130"] Vendor [/TD]
[TD="width: 80"] 2012
sales
[/TD]
[TD="width: 80"] 2012
market share
[/TD]
[TD="width: 80"] 2011
sales
[/TD]
[TD="width: 80"] 2011
market share
[/TD]

[TD="colspan: 5"] Source: © Gartner (Feb 2013) [/TD]

[TD="colspan: 6"] Source: © IDC (Jan 2013) [/TD]
 
Back
Top Bottom