Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 32,062
- 43,489
Kuna tetesi zinaendelea mtandaoni kuwa kampuni ya nokia inatengeneza simu za android. Inasemekana tayari simu 10,000 zimetengenezwa kama prototype na zinatestiwa. Simu hizo zinatestiwa katika maabara za research za nokia huko china.
Hio picha ni mfano tu sio simu yenyewe
Kwa kifupi details za simu
1. Inatumia processor ya snapdragon 200 hii ina maan itakua simu ya bei rahisi sana.
2.zipo 10,000
3. Zinatengenezwa na kutestiwa china
4. Zipo chini ya department ya research hivyo hazihusiani n manunuz ya microsoft
Hio picha ni mfano tu sio simu yenyewe
Kwa kifupi details za simu
1. Inatumia processor ya snapdragon 200 hii ina maan itakua simu ya bei rahisi sana.
2.zipo 10,000
3. Zinatengenezwa na kutestiwa china
4. Zipo chini ya department ya research hivyo hazihusiani n manunuz ya microsoft