samilakadunda
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 1,780
- 354
Namba kufahamishwa uimara,quality na bei ya simu N95,ukilinganisha na simu nyingine??
N95 zipo aina mbili: Fake (ya kichina) na Original : Fake bei ni 50K original 450K kuendelea. N95 imeishapitwa na wakati.
mi nna n95 8gb niliinunua mwaka 2008 na mpaka leo hii ninayo. binafsi nimeipenda simu hiyo ndo mana nimekuwa nayo kwa kipindi kirefu, japokuwa napenda kubadili simulakini hii kila wakati bado ninayo. niliinununa tshs. 750,000/- kipindi hiko. sasa hivi sijui bei zake madukani ila ni simu nzuri na utaipenda kwa internet na music na ukiipata nzuri betri yake huwa inakaa kwa muda mrefu. ila ukinunua used kwa mtu be careful na mkanda wa simu kama wameubadilisha unaweza usiifurahie kwa sana maana inasumbua hasa button za up down left na right pamoja na right na left selection key zake zinakuwa na tabia ya ku jiclick mara mbili mbili