Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 30,733
- 39,836
nokia naona imekua charity company sasa wamepatner na mozilla wametengeneza map itaitwa "HERE" hizo map zitakua ni cross platform yaani zitapatikana pia android na ios.
Pia nokia wameinunua kampuni ya earthmine kwa ajili ya 3d map so kutakua na more 3d 3d kwenye map mpya.
so say goodbye kwa nokia maps
Wenye android na ios sasa mtaondoka kwenye makucha ya google map
Pia nokia wameinunua kampuni ya earthmine kwa ajili ya 3d map so kutakua na more 3d 3d kwenye map mpya.
so say goodbye kwa nokia maps
Wenye android na ios sasa mtaondoka kwenye makucha ya google map