Wisdom youlth
Member
- Sep 14, 2011
- 73
- 17
jamani nimepokea zawadi ya simu mbili moja ni Nokia e71 ipi ni bora kwa kuperuzi na uimara na Nokia asha 303 moja kati ya hizi nataka kumgei bwana mdogo me nibaki na imara kwa kuperuzi
Natanguliza shukrani,,,,
Natanguliza shukrani,,,,