Nokia e71 na Nokia asha 303

Nokia e71 na Nokia asha 303

Wisdom youlth

Member
Joined
Sep 14, 2011
Posts
73
Reaction score
17
jamani nimepokea zawadi ya simu mbili moja ni Nokia e71 ipi ni bora kwa kuperuzi na uimara na Nokia asha 303 moja kati ya hizi nataka kumgei bwana mdogo me nibaki na imara kwa kuperuzi

Natanguliza shukrani,,,,
 
nokia E71 ndo nzur! Asha Matoleo Ya Zaman sio Smartphone! Kwan hyo n asha aina ipi?
 
mkuu haina maana dogo ndo awe na kitu kibaya we uwe na kizuri cha muhimu angalia matumizi yako. kama ni net na kupiga simu tu asha 303 sio mbaya, e71 ina mambo mengi na nzuri kwa mtu anaeanza kujifunza mambo ya smartphone.
 
E71 kwanza vifaa vyake vyote viko pia inabrowse vizur saaaana mbali na hayo ni imara pia ina application nyingi mnooo as ina camera front nad back so hata video call saaana tu skype too
 
mkuu haina maana dogo ndo awe na kitu kibaya we uwe na kizuri cha muhimu angalia matumizi yako. kama ni net na kupiga simu tu asha 303 sio mbaya, e71 ina mambo mengi na nzuri kwa mtu anaeanza kujifunza mambo ya smartphone.

mkuu tugei maujanja basi mwenyewe natumia E71 kwani najua tu kuingia jf tu na ku download tu!!!! Hivi kuna mautundu zaidi,,,shukrani kwako chief.
 
geek_girl kila post naona we ndo unacomment gudnite mama
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom