Nime restore nokia asha
200 haikubaki tena kufungua browser pia nikienda ovi mail inafel na pia
whatsap haionekani kwenye kudownload naombeni msaada nifanyaje
wakuu
ndo tatizo la nokia za kisasa. nakumbuka kipindi cha nokia za symbian, matatzo madogomadogo yalikuwa kidogo. anyway jaribu kuiupdate.Nime restore nokia asha 200 haikubaki tena kufungua browser pia nikienda ovi mail inafel na pia whatsap haionekani kwenye kudownload naombeni msaada nifanyaje wakuu
Nime restore nokia asha 200 haikubaki tena kufungua browser pia nikienda ovi mail inafel na pia whatsap haionekani kwenye kudownload naombeni msaada nifanyaje wakuu
nokia asha 200 inakubali whatsapp...
Yea 100%
unafanya some tricks sio official na rahisi kati ya hizo trick ni kueka memory card yako kwenye simu ya asha inayosuport whatsap kisha kuimove ile whatsapp kwenye memory card halafu kuchukua ile memory card na kuieka kwenye simu yako tenasio kweli binafsi nilijaribu ikanilkatalia na inanipa orodha ya Asha zinazosupport whatsup Asha 200 ikiwa haipo
Mkiambiwa Tecno ni kiboko yao nyie mnabishi. Mnanunua majina! Poleni.
una miaka mingap?
Miaka ya umri au...
sio kweli binafsi nilijaribu ikanilkatalia na inanipa orodha ya Asha zinazosupport whatsup Asha 200 ikiwa haipo
yah umri sababu sikuelew
Kutonielewa na umri vinashaabiana kivip?