Nokia 3310 kurejea tena.

Kukaa na Chaji muda mrefu hii ni kwasababu ilikuwa ni ya kutumia kwa kupiga/kupokea na kutuma sms.

Baada ya hapo hakuna chochote ulichoweza kuchezea na kikamaliza chaji.

Hata radio ilikua haina.

Tuliita Jeneza.
Ina redio. Na inacheza game piaa. Ina games nzuri sana za miaka ilee
 

hii ndio copy copy iliyouza kuliko aina zote za sm ambazo zishawahi kutolewa na Nokia, ndio ukweli halisi..
 
Hii simu imebeba historia kubwa sana kwangu.. Ilikua miaka ya 2006 kama sijasahau natoka mkoa kuja dar. atakae nipokea ubungo simjui, basi nimechaji simu usiku kucha nisije nikakosa mawasiliano safarini.. Asubuhi nimeamka freshi nimepanda gari yani sijatoka hata kilometa 6 simu ikapiga bips za battery low ikazima. Haha duh.. kufungua battery limevimba hilo balaa na simu ikazima mazima, kilichotokea ubungo mungu anajua.
 
Mimi mpaka leo nilikuwa naitafuta hii simu ,naona ni bora wangeirudisha sokoni kama ilivyokuwa mwanzo bila kuongeza features zozote
 
Hiyo simu nilinunua mwaka 1999. Nilidumu nayo kwa miaka 7. Walipoitungia Nina JENEZA nikaiweka ndani,ninayo.
1999 hii simu ilikuwa imeshatoka ? Nakumbuka Nokia Ringo au Siemens c25 na baadae c35 ndio zilitoka miaka ya 2000 mwanzoni
 
kiwanda cha smartphone pekee ndio kiliuzwa
 
Naikubali sana
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…