Nokia 3310 kurejea tena.

Hii ndo simu iliyouzwa zaidi?? What about nokia 110 ?na iPhone 6 ,,, Leta source mkuu
Aisee, yes a fault acknowledged. It should be among the best selling phone. Nokia 1100 na Nokia 1110
 
Nakumbuka hiyo simu aliinunua mzee wangu kwa laki moja na elfu ishirini.
 
mkuu weka na picha tuikumbuke uzuri wengine hizo namba hatuzijui
hiyo ndiyo nokia niliyo anza kujifunzia kuflash simu kaugonjwa kake ka contactservice niki tumia dejan dongle ilikuwa mwaka 2003
 
Sijui ndo kukosa ubunifu au kitu gani,nani atanunua sasa hiyo...
Nilitarajia wameongezea vionjo kama satelite phone,au inakuja kama smartphone ya physical keyboard
 
Naomba wabadilishe aina ya charger zake make sasa ukisema charger Pin kubwa wabongo akili inaamia chini pale kati [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
 
hapo ndani watuwekee ugonjwa huu

camera mbele na nyuma. mp 5
na social net work ili atumalize kabisa na tochi
 
Dah 3310 nokia, huku kwetu ilipendwa sana na akina dada sababu ya vibration yake.

Yaana ilikuwa balaa coz mtoto wa kike anaikalia then anakwambia jamani ni~beep basi.., ukifanya hivyo ule mtekenyo anaoupata...., shkamooo nokia sate sriii ten
 
hiyo simu nakumbuka niliiangusha,ikavunjika sakafu ya simenti
 
Warudishe na twangs pepeta .... ile kampuni nimeisahau jina lake [emoji3]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…